Ni aibu show ya Kiba Mombasa kama yupo msibani

Hitmaker wa Aje, Alikiba alifanya show wikiendi hii mjini Mombasa, Kenya ya kuuaga mwaka 2016 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2017. Zifuatazo ni video na baadhi ya picha za show hiyo.




 
Hiyo ni fete?mbona kama ni party ya wafanyakazi tu?
Ile show iliomfanya atake kuuwawa aliirudia?
Kiba anazidi kwenda chini.Diamond Tarehe 5,anatumbuiza dunia akiwa Abuja kwenye tuzo za CAF
 
Kiukweli Msema kweli mpnz wa Mungu.... Watazamaji walikuwa wachache....Tuangalie wapi tumekosea. Heri ya mwaka mpya 2017... mwanajamii forum
 
Aibu ya mwaka hii watu wamechoka maisha magumu huko njoo iringa
 
Mbona watu kama Family day ya NMB? Sema ukweli hapo hakuna cha nyomi wala nini. Sema gavana wa Mombasa atakuwa kafurahi sana.
 
picha huoni na maandishi huoni nyokooooo huoni nyumi ya watu hapo?
 
Unqjisifu unapendwa afu unafanya show wanahuzuria wandish tu aibu kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…