unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,865
Prof J ni moja ya watu maarufu kwa Level zetu za Tanzania. Pamoja na kuwa mbali na nyumbani kwa zaidi ya miaka 11 Lakini bado napenda kusikiliza Radio especially Clouds na Leo nimeskia kuwa Prof J ni mgonjwa na zaidi ya Wiki 3 amelazwa Hospitalini, gharama kwa Wiki 4 Million Tshs. Sio ndogo.
Swali langu kwa wenzetu mnaoishi na kutibiwa Muhimbili, je wanapokea Bima ya afya na wapi ni kikomo cha huduma Kadiri ya Bima ya afya. Je, Katika mazingira haya ya 4 Millionen per week, inawezekana kweli Prof anatumia Bima ya afya?
Imagine kwa mtu maskini na askofu yejulikana. Atafanyaje kupata 4 m kwa Wiki. Mwisho tuendelee kumwombea Jabali Prof J na michango Pia imwagike. Ingependaza michango ya aina Hii ingekwenda kwenye mfuko wa afya wa Bwana Prof J na kama itakuwa kea Hela kubaki baada ya matibabu yake Basi ingetumika kuwasaidia wenzine waliolazwa na hawana msaada.
Swali langu kwa wenzetu mnaoishi na kutibiwa Muhimbili, je wanapokea Bima ya afya na wapi ni kikomo cha huduma Kadiri ya Bima ya afya. Je, Katika mazingira haya ya 4 Millionen per week, inawezekana kweli Prof anatumia Bima ya afya?
Imagine kwa mtu maskini na askofu yejulikana. Atafanyaje kupata 4 m kwa Wiki. Mwisho tuendelee kumwombea Jabali Prof J na michango Pia imwagike. Ingependaza michango ya aina Hii ingekwenda kwenye mfuko wa afya wa Bwana Prof J na kama itakuwa kea Hela kubaki baada ya matibabu yake Basi ingetumika kuwasaidia wenzine waliolazwa na hawana msaada.