Ni aina gani ya cheti cha ndoa kinachotambulika Serikalini?

Ni aina gani ya cheti cha ndoa kinachotambulika Serikalini?

NOLDJAY

Member
Joined
Nov 12, 2011
Posts
7
Reaction score
0
Nahitaji msaada wenu wanasheria, ukifunga ndoa kanisani au bomoni ni cheti kipi kinatambulika na serikali katika maswala yote ya kiserikali mfano uhamisho wa mke je, utachopewa kanisani au kile cha bomani?:happy:
 
cheti CHA ndoa ni kimoja kinatoka serikalini kikitolewa kanisani, miskitini, au bomani ni kile kile sema ujazaji unategemea na dini na dhehebu
 
cheti CHA ndoa ni kimoja kinatoka serikalini kikitolewa kanisani, miskitini, au bomani ni kile kile sema ujazaji unategemea na dini na dhehebu

NADAUT NA JIBU LAKO, NATMAI CHA BOMANI UPANDE WA SERIKALIN KNATAMBULIWA NA KUKUBALIKA ZAID VIVO IVO UKU MSIKITINI TNATAMBUA CHA BAKWATA TUKIAMINI WALOFUNGIA BOMANI WANAFANYA ZINAA KWAN HAKUNA NDOA YA BOMANI, OLIGWa?
 
NADAUT NA JIBU LAKO, NATMAI CHA BOMANI UPANDE WA SERIKALIN KNATAMBULIWA NA KUKUBALIKA ZAID VIVO IVO UKU MSIKITINI TNATAMBUA CHA BAKWATA TUKIAMINI WALOFUNGIA BOMANI WANAFANYA ZINAA KWAN HAKUNA NDOA YA BOMANI, OLIGWa?

Pukudu yuko sahihi usiwe na shaka na jibu lake.
 
Kama alivyosema @puduku cheti ni kimoja tu kwa dini zote ndicho kinachotambuliwa na serikali. Sema aina ya ndoa ndiyo matashi ya mtu binafsi lakini kokote uendako utapata cheti cha serikali.
 
Nahitaji msaada wenu wanasheria, ukifunga ndoa kanisani au bomoni ni cheti kipi kinatambulika na serikali katika maswala yote ya kiserikali mfano uhamisho wa mke je, utachopewa kanisani au kile cha bomani?:happy:

Cheti cha RITA
 
Pukudu ametoa jibu sahihi,sheria ya ndoa ya mwaka 1971 ukitaka jua vzr utakuta imeandikwa chini ya cheti.Hicho cha bakwata serikali haikitambui,kuhusu kufungia bomani unakuwa unazini ni dini zote.Ila ukumbuke serikali haina dini ila watu wana dini pale kwa wasio na dini wanapata uhuru wao.CHETI NI KIMOJA TU CHA NDOA.
 
Kama alivyosema @puduku cheti ni kimoja tu kwa dini zote ndicho kinachotambuliwa na serikali. Sema aina ya ndoa ndiyo matashi ya mtu binafsi lakini kokote uendako utapata cheti cha serikali.

Jibu ni kuwa ndoa za bomani hazitambuliwi kwenye dini ila ndoa za kwenye dini zinatambuliwa serikalini, na cheti ni kimoja kwa ndoa zote.
 
NADAUT NA JIBU LAKO, NATMAI CHA BOMANI UPANDE WA SERIKALIN KNATAMBULIWA NA KUKUBALIKA ZAID VIVO IVO UKU MSIKITINI TNATAMBUA CHA BAKWATA TUKIAMINI WALOFUNGIA BOMANI WANAFANYA ZINAA KWAN HAKUNA NDOA YA BOMANI, OLIGWa?

Ukisema hivyo basi hata sisi hatukitambui cheti xha bakwata, vyeti bvya dini havina mashiko yeyote kiwe cha bakwata,cha ukwata,TYCS vyoote havina dili yeyote ndio mana serikali ikaweka cheti kimoja maana hv vya din kila mmoja ataona cha dini yake ndio sahii kuliko cha din ya mwenzie, wakati huo dini hizi ni mapokeo tu na ni nadharia tu.
 
Nimekumbushia mada ya zilipendwa tantangu2012.
 
Hivyo kama nina cheti cha ndoa kutoka BAKWATA ili nifanye mchakato labda wa kumhamisha mke wangu, ipo haja ya kupata CHETI kutoka RITA?
Msaada wenu jamani!
 
Nahitaji msaada wenu wanasheria, ukifunga ndoa kanisani au bomoni ni cheti kipi kinatambulika na serikali katika maswala yote ya kiserikali mfano uhamisho wa mke je, utachopewa kanisani au kile cha bomani?:happy:
bofya hapa kuna kitabu kinaeleza yote hayo SHERIA TANZANIA
 
Back
Top Bottom