Ni aina gani ya muziki usioupenda au hujatokea huuelewa kabisa?

Ni aina gani ya muziki usioupenda au hujatokea huuelewa kabisa?

Flechaa

Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
76
Reaction score
154
Habari za muda huu wakuu. Mimi ni msikilizaji mzuri sana wa muziki kama Afromusic hasa za Nigeria,South,Ghana na East africa. Pia christian songs,Hiphop za bongo na mbele kias flani,pia Pop na Reggae kama za Lucky dube,Bob marley, Alpha blondy.

Ila kuna baadhi ya aina za mziki ambazo hua nadownload na kujaribu kusikiliza na kujilazimisha kufeel vibe za aina hiyo ila juhudi zinagonga mwamba na naishia kuzifuta kwenye simu. mifano ya ina hizo za muziki ni kama taarab,mziki wa dansi,trap hasa za mbele na singeli.

Je wewe ni aina gani ya mziki ambao huupendi au hujatokea kuvutiwa nao kabisa maskioni mwako?
 
Mkuu taarab kuna baadhi nzuri sana,hasa zile zilipendwa hebu jaribu kutafuta 1.Njiwa peleka salam
2.Moyo unalia
3.Mzee Yusuf-nitadum nae
5.Mwambieni nampenda ila kwa Singeli sizielewi hata kidgo
 
nt
Mkuu taarab kuna baadhi nzuri sana,hasa zile zilipendwa hebu jaribu kutafuta 1.Njiwa peleka salam
2.Moyo unalia
3.Mzee Yusuf-nitadum nae
5.Mwambieni nampenda ila kwa Singeli sizielewi hata kidgo
ajaribu tena mkuu japo baada ya majaribio meeeengi nliupenda mmoja tuu wa mpenzi chocolate
 
singeli naona k
Kidogo taarabu ile ya zamani nilikuwa naikubali sio hizi zilizoletwa na akina mzee yusuph.
singeli naona kama most of the beats ni zile zile yaani kama maproducer hawan ubunifu wa kuweka ladha za tofauti mwishoni inakuwa kama zote ni mchanganyiko wa biti ya mchakamchaka plus kelele na kutaja baharia nyiiingi
 
Mimi upande wangu mziki ukiwa umepangilika kimuziki.. Yaani Nota, Sauti zote 4, Vocal,Beats, Rhymes nk. Hua naupenda.
Mimi napenda nyimbo zote..Hadi Qaswida na Taarabu nasikiliza japo I'm Christian
Kwa hiyo kila genre/aina ya mziki unapenda mkuu?
 
[/QUOTE]
kuna hii county music,ni music moja tamu sana na mpaka naona nmechelewa kuifahamu[emoji91][emoji91]
sana mkuu hasa jamaa anaitwa jim reeves namkubali sanaaa na pia kuna wimbo sijui ameimba nani ila unaitwa when somebody loves you yaani ni nzuri mno.
 
Habari za muda huu wakuu. Mimi ni msikilizaji mzuri sana wa muziki kama Afromusic hasa za Nigeria,South,Ghana na East africa. Pia christian songs,Hiphop za bongo na mbele kias flani,pia Pop na Reggae kama za Lucky dube,Bob marley, Alpha blondy.

Ila kuna baadhi ya aina za mziki ambazo hua nadownload na kujaribu kusikiliza na kujilazimisha kufeel vibe za aina hiyo ila juhudi zinagonga mwamba na naishia kuzifuta kwenye simu. mifano ya ina hizo za muziki ni kama taarab,mziki wa dansi,trap hasa za mbele na singeli.

Je wewe ni aina gani ya mziki ambao huupendi au hujatokea kuvutiwa nao kabisa maskioni mwako?
Singeli na aina ya muziki wa kina lyl wine (hata jina sijui kama nimeandika sawa
 
Back
Top Bottom