Ni aina gani ya "solid cooking fat" yenye uafadhali?

Ni aina gani ya "solid cooking fat" yenye uafadhali?

Mtu Fodontino

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2021
Posts
351
Reaction score
558
Kwanza Kabisa Kabisa nitangulize Shukrani nzito kwenu Wakuu

Kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta ya kupikia hivi sasa kutokana na Mafuta kuwa madogo kulingana na Uhitaji wa raia hali hii imezua sana wakati mgumu

Hasa kwa sisi wenye kipato cha kubangaiza kuweza kuendana na bei ya sasa ya 1Litre kwa shilingi 7000,7500 mpaka 8000, sasa kuna aina mbili ya Solid cooking oil ambazo kwangu mimi naona zinaweza tumika kama altenative ili kutufanya tuendelee kula walau chakula chenye mafuta japo kidogo wakati tukiendea kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili la mfumuko wa bei ya mafuta.

Majina ya Solid cooking oil hizo ni KIMBO OIL na BLUEBAND ni ipi yenye u afadhali yakawezekana tumika kupikia chakula? View attachment 2175794[ATTACH type="full" View attachment 2176559
View attachment 2176560

Screenshot_2022_0404_212506.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nilijua tu kuna mtu atakumbuka haya mafuta. Binafsi sijui mkuu ila najua sio mazur kwa afya ya moyo wako.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Aisee aisee bora nilitanguliza salamu kabisa kipind hicho nadhan hata mshua alikua hajaonana na maza[emoji23] yapo sana tu na yatakua kimbilio la wengi saivi
Asante sana, chumvi mwangu tumeila. Wakati huo kuna kimbo na tanbond.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Aisee aisee bora nilitanguliza salamu kabisa kipind hicho nadhan hata mshua alikua hajaonana na maza[emoji23] yapo sana tu na yatakua kimbilio la wengi saivi
Niliyaona supermarket nikashtuka sikujua kama bado yapo[emoji28]
 
Back
Top Bottom