Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Ya PAPUCHI TU
...Sky, Sijakuelewa. So wanatuaminisha kuwa Asali haina madhara sana na kama ukiweza kunywa cha kwa asali kuliko chain kwa sukari, maana Asali haina madhara ?? [emoji848][emoji848]Sukari,asali, sukari guru zote zina same effects, tofauti ni kuwa nyingine ni fast reales.
Tumia sweeteners au cut off sugar kama una mashaka.
Asali ni monosaccharides inaenda mwilini faster lakini zaidi hapo zote ni sugar...Sky, Sijakuelewa. So wanatuaminisha kuwa Asali haina madhara sana na kama ukiweza kunywa cha kwa asali kuliko chain kwa sukari, maana Asali haina madhara ?? [emoji848][emoji848]
Sukari,asali, sukari guru zote zina same effects, tofauti ni kuwa nyingine ni fast reales.
Tumia sweeteners au cut off sugar kama una mashaka.
Unaharibu mwili wako hasa ubongo. Sukari ina umuhimu mkubwa sana katika kuupa mwili nguvu na joto.Mimi huwa situmii sukari kabisa
Sukari ni sukari tu..iwe nyeupe, nyeusi, matunda au Asali zote ni sukari tu...Naomba msaada wa kujua ni aina ipi ya sukari isiyo na madhara mwilini
1. Sukari iliyochemshwa kwenye chai ikachemka sana,
2. Sukari nyeupee iliyo korogwa kwenye chai papo hapo na ikanyweka,
3. Sukari Nyeupe iliyochemshwa kwenye chai ikachemka sana.
Mwenye jibu sahihi atujuze
Sukari ni sukari tu..iwe nyeupe, nyeusi, matunda au Asali zote ni sukari tu...
Sukari isiyo na madhara ni sweeters...
Lakini sukari si sumu kama mnavyoaminishwa bali ni muhimu sana mwilini..Tatizo ukila sukari nyingi ndo ugekuwa kuwa si afya tena bali usababisha unene ambao mwisho ni magonjwa.mbalo mbali...Kama mtu huna ugonjwa wa kisukari na unatumia sukari kiasi ni sawa kwai mwi
Tumia sukari ya kawaida lakini u..Kila kitu kikizidi uwa sumu..Sukari ni muhimu mwilini..Kwa hiyo unashauri tutumie sweeter ile inayotumiwa na wagonjwa wa sukari sio
tatizo siku hizi kila mtu ni mtaalamu wa lishe, sasa kama na asali mnasema ni sumu mwilini, kimbilio [QUOTE="
Hakuna aliyesema Asali ni sumu...muulizaji alitaka kujua aina ya sukari yenye madhara..
Ndo tukasema katika mwili sukari ni sukari iwe ya kwenye soda, vitumbua, wali, chai au hata matunda vyote hv ni sukari ingawaje kwa matunda ni kuwa pamoja ya sukari mwili unapata vitamin.
Labda nikufafanulie kidogo tu..unapokula tuseme matuda...chakula kinakwenda kwenye tumbo (intestine)hapa usagwa, na kuna aina nyingi tu za Enzyme ambazo kuja kubebea aina mbalimbali ya vitamin na kupeleka sehemu inapotakiwa..Sasa basi katika hizo Enzyme zipo nyingine ambazo kazi yake ni kuchukua sukari (tuda ulilokula lina sukari) na kuibadilisha kuwa glucose...Hii glucose upelekwe kwenye damu, ikishafika kwenye damu usafirishwa tena kupelekwa katika sehemu mbali mbali ya mwili kwa ajiri ya energy , Mfn kwenye Muscles,.kichwani na nk..
Hivyo basi hawa Enzyme hawaangalii kama hii ni sukari inatoka kwenye wali, au.chai au matuda..wao sukari ni sukari...
Tatizo linakuja kama sukari ikiwa nyingi kwenye damu kuna kitu kinaitwa pancreas, hii pancreas ina produce kitu kinachoitwa Insulin (homon) hii homon kazi yake ni kupunguza sukari (glucose) iliyozidi kwenye damu yako, na kuibadilisha kuwa mafuta na kuhifadhi. Mafuta yakihifadhiwa na yakawa mengi matokeo ni unene..Madhara ya unene natunmaini unayafahamu
Nafikiri hapo utakuwa umeelewa ni kwa ninj tunasema sukari ni sukari
Kwa hiyo unashauri tutumie sweeter ile inayotumiwa na wagonjwa wa sukari sio