FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
I guess nilikuwa na data na mwehu
Baada ya kutokuonana mwaka jana alikuja location niliyopo then akaomba tuonane tukaonana
Kwenye mazungumzo alitumia muda mwingi kusema kuwa kwamba saivi AMEKUWA MALAYA yeyote mwenye pesa anapita nae
Pia alinipa simu yake akidai nimnunulie Salio bila kutoa password za simu wala kuniambia password za m-pesa
Nikanunua na akawa anacheka tu kuwa Kuna ndugu zake hata wapenzi wake waliopita hawajui Siri zake kama Mimi tujitahidini kudate walio timamu
Baada ya kutokuonana mwaka jana alikuja location niliyopo then akaomba tuonane tukaonana
Kwenye mazungumzo alitumia muda mwingi kusema kuwa kwamba saivi AMEKUWA MALAYA yeyote mwenye pesa anapita nae
Pia alinipa simu yake akidai nimnunulie Salio bila kutoa password za simu wala kuniambia password za m-pesa
Nikanunua na akawa anacheka tu kuwa Kuna ndugu zake hata wapenzi wake waliopita hawajui Siri zake kama Mimi tujitahidini kudate walio timamu