Ni ama Bashiru Ally amepotoka au hajui CCM kiundani

Ni ama Bashiru Ally amepotoka au hajui CCM kiundani

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Kwa wale ambao tumebahatika kuijua CCM kwa undani, Makali ya Magufuli yataisha mara tu baada ya Kuapishwa kuwa rais 2020/2026.

Nimemuona Bashiru Twitter akiwaonya Nape na Kigwangala kwa Mambo Binafsi,

Nahisi Bashiru ama ni mshamba mmoja ambaye hajui matumizi ya twitter ama anajitoa ufahamu

Katibu Mkuu kasahau kwamba Mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu (kipindi Cha kwanza Cha Urais kinapoisha)tunapoenda kipindi Cha Pili basi uchaguzi huo unapoisha.

Wanasiasa huanza MARA MOJA kupanga safu ya Urais wa Awamu unayofuata.Hapo tayari na 'kambi/Mtandao wa fulani' zimeshaanza kuandaliwa kichinichini; ndo maana watu Kama kina Nape wanaanza kujipitisha huku&Kule kutengeneza 'upepo' wa fulani' ama kujitengenezea mazingira wao wenyewe kwa Ajili ya Urais wa Awamu ya6!

Anachemka akudhan atawapangia kina Nape Nnauye cha Kufanya
na kuwalazimisha kutoendelea na kampeni kwa ratiba zao, eti wanapaswa wasimame na rais,

Britannica
 
Ivi wewe Magufuli, inamaana watu wa Bunda wao hawachangii chochote kwa pato la Taifa??

Nakama wanachangia kwanini unawatenga sababu ni wanaongozwa na Upinzani??




Yaan Tunaongozwa na Jitu lina roho mbaya ,chuki na visasi ndo vimelijaa.

Sasa kwa matamshi yake, watu wanaposema huyu bwana ndio alihusika na kutaka kumuua Lissu wanakosea?
 
Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu mkuu.........................................................nape, Kigwangala.
 
Nimeshangazwa na hili kabisa Account ya Twitter ya Kigwagwala ni personal account yuko willing kupost chochote so long as havunji sheria za nchi nafananisha na ile incidence ya dogo wa Harvard mganda kumshitaki museveni kwa kuwa blocked wakati amekuwa blocked katika personal account ya Museveni, Kina Nape hao na Kigwa kwa sasa kwa vile wameshakuwa allowed kugombea majimbo basi Hakuna mtu ataweza kuwa regulate zaidi ya JPM tu narudia ni JPM tu ndio anaweza kuwakemea na wakamsikiliza ila the rest hakuna hao tayari wana plan za Rais wa awamu ya sita btw Rutto amezuia Siasa ili Big 4 agenda Ziendelee Kuwa implemented, Kenyatta nae Anaanda Kasiri la kwenda kupumzika baada ya Urais wake huku Alfred Mutua akitangaza nia ya kugombea urais 2022
 
Magufuli sio raisi 2020 - 2025. Mark my words
Hata tuliambiwa mgombea wa CCM hata kuwa Magufuli ni Membe.
Sasa tunaambiwa tena na wewe hata kuwa rais
Mi natafuta mtu mwenye Uhakika tuweke dau ili nile hela maana kuna niliyekula hela mwaka 2015 aling'ang'ana Lowasa atakua rais tukaweka dau. Mwaka huu kagoma kuweka dau.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Hata tuliambiwa mgombea wa CCM hata kuwa Magufuli ni Membe.
Sasa tunaambiwa tena na wewe hata kuwa rais
Mi natafuta mtu mwenye Uhakika tuweke dau ili nile hela maana kuna niliyekula hela mwaka 2015 aling'ang'ana Lowasa atakua rais tukaweka dau. Mwaka huu kagoma kuweka dau.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Mark my words! Magufuli is one term president. Na mwisho wake ni October 28. Baada ya matokeo atakuwa kwenye hali ya kutakiwa kukabidhi madaraka!
 
nime screenshot comment yako...

Nasubiri na utakayoandika "tumeibiwa kura"
Ndio mko hivi
IMG_20200905_131243.jpeg
 
Nimeshangazwa na hili kabisa Account ya Twitter ya Kigwagwala ni personal account yuko willing kupost chochote so long as havunji sheria za nchi nafananisha na ile incidence ya dogo wa Harvard mganda kumshitaki museveni kwa kuwa blocked wakati amekuwa blocked katika personal account ya Museveni, Kina Nape hao na Kigwa kwa sasa kwa vile wameshakuwa allowed kugombea majimbo basi Hakuna mtu ataweza kuwa regulate zaidi ya JPM tu narudia ni JPM tu ndio anaweza kuwakemea na wakamsikiliza ila the rest hakuna hao tayari wana plan za Rais wa awamu ya sita btw Rutto amezuia Siasa ili Big 4 agenda Ziendelee Kuwa implemented, Kenyatta nae Anaanda Kasiri la kwenda kupumzika baada ya Urais wake huku Alfred Mutua akitangaza nia ya kugombea urais 2022
Yea
 
Back
Top Bottom