Ni app gani inayoweza kutoa mkopo kwa njia rahisi na uhakika?

L-Pesa Tanzania pia iko powaa. Unaanza na $1 dola unaupgrade credit na unaweza kopa hadi $50 kwa siku moja tu na limit ni hadi dola 3000 mkopo binafsi. Kikubwa ni hicho wakuu wamesema DAWA YA DENI NI KULIPA.
 
Kwahiyo branch, tala na L-pesa zinapatikana playstore au? Maana nahisi kama sijaelewa hivi
 
Tala pia wapo vizuri nikufuata taratibu zao
 
Ndo nimeingia kwa mara ya kwanza kwenye hiyo app, kwanza sharti lazima uwe na account facebook, mtaka cha uvunguni imebidi nifungue account chap, nakuta mkopo ni elf 5, 10 na 20
Wanakera habari ya kua na account facebook ndo ujinga gani sijui msiiiiiew
 
L-Pesa Tanzania pia iko powaa. Unaanza na $1 dola unaupgrade credit na unaweza kopa hadi $50 kwa siku moja tu na limit ni hadi dola 3000 mkopo binafsi. Kikubwa ni hicho wakuu wamesema DAWA YA DENI NI KULIPA.
L-Pesa Tanzania pia iko powaa. Unaanza na $1 dola unaupgrade credit na unaweza kopa hadi $50 kwa siku moja tu na limit ni hadi dola 3000 mkopo binafsi. Kikubwa ni hicho wakuu wamesema DAWA YA DENI NI KULIPA.
Hawa l-pesa nimeomba mkopo wa dola20 tangu tarehe 27 octoba hadi leo iko pending. wanazingua sana
 
Mbona mm nakopa sana tala? Yani shida ndogo ndogo nakimbilia sana tala
 
Ebu nielekeze hawa branch mikopo yao ina mashart yapi maana nilikopa wakaniwekea Zengwe hawakunikopesha
Masharti yao makubwa ni kuwa na taarifa zinazo shabihiana kati ya hizo utakazo zijaza hapo kwenye app yao... Na za facebook yako.. Taarifa zako wakisha zipitia ndani ya siku moja hadi mbili wana kuruhusu kukopa... Ukienda vizuri kiwango chao cha mwisho kukopa ni milioni moja... Na ukianza kukopa laki kwenda mbele utaanza kurudisha ndani ya miezi mitano.. Chini ya hapo utarudisha deni lao ndani ya mwezi1.. Wapo vizuri tu mpaka sasa sijaona tatizo lao... Kumbuka Dawa ya deni kulipa
 
Wadau ni app gani inayotoa mkopo tofauti na tala au branch? Hizi app naona zimekaa tu kiutapeli. Kama branch ndo amna kitu kabisa
 
Wadau ni app gani inayotoa mkopo tofauti na tala au branch? Hizi app naona zimekaa tu kiutapeli. Kama branch ndo amna kitu kabisa
Kuna uzi humu naona watu wanaisifia hiyo tala na branch. Vp mkuu jamaa ni wababaishaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…