Ni Apps zipi za Mitandao ya Kijamii unamiliki kwenye simu yako na na kwanini?

Ni Apps zipi za Mitandao ya Kijamii unamiliki kwenye simu yako na na kwanini?

Hplp2275H

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2021
Posts
556
Reaction score
1,660
Mimi nina apps mbili tu Tuu ambazo Ninamiliki kwenye simu yangu nazo ni Twitter na WhatsApp. Facebook niliiacha kitambo kwa sababu ya kuwa na limited number of friends

Kule Vichwa vipanga ni wachache mno kumejaa utopolo tuu. Hata ukiwa na followers Labda uwe unaandika kuhusu mapenzi, udaku upuuzi kama wa dj tee, sam misago n so like

Inshort fb kibongobongo ni uwaki. Mara nianze kutumiwa message inbox Like back nakukubali kwamba pita na kwangu. Ushoga Sana unakutaa na msg request Niaje modo wangu. nakukubali unaweza kupiga mzigo

Instagram nako kibongo bongo ni umbea tuu. Mainfluencer uchwara na pia kama naweza kumfollow Prince Wa,Robert kiyosaki,Strive masiyiwa. Na akili kubwa zingine Twitter why nihangaike na Ig na Fb.

Jamii Forum naingia kupitia browser huku mambo ni wiu wiu.
 
Twitter
Jamii fulani
Facebook
Telegram- kwa ajili ya movies
Facebook lite
Instagram
Badoo- huku hua napakuaga mizigo
 
Screenshot_20210706-094826.jpg
 
Social Media zote zina faida kama ni Strive Masiyiwa Facebook ndio uwanja wake wa kujidai kuliko hata Twitter. Na uzuri social media hua inakukuletea unachokihitaji hata huko twitter kuna ujinga mwingi tu.

My top apps ni Twitter, Facebook, LinkedIn na Instagram.
 
Back
Top Bottom