Ni athari zipi nitapata

uroto

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2015
Posts
442
Reaction score
227
wakuu habari za mdaa huu

Niliwahi kuwa muhanga wa punyeto kwa miaka 9 namshukutu Mungu 2013 niliacha na nikanikiwa kujitibu na nimepona

ishu iliopo uume wangu ni mdogo sana ukiwa umelala ila ni inch 6+ ukisimama

je nikiwa naupaka asali nitapata madhara gani,Babu yangu alinambia asali hufanya uume kurefuka ukiwa umelala

karibuni
 
ukiupaka asali unakuwaga mrefu,lakini kwenye kazi ni sifuri...

wale CHAPUTA wa umu JF wanapakaga pilipili zile za kienyeji na unakuwa mrefu halafu kwenye job akuna kuchoka
 
mafuta ya tembo.![emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, ili urejee katika hali yako... anza kunyetuka kwa kutumia sabuni ya unga, hakika hautojuta...tehteehh [emoji12] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…