kluger JF-Expert Member Joined Jun 16, 2016 Posts 2,093 Reaction score 1,899 Mar 7, 2018 #1 Waslaamu, Naomba maelekezo kwa aliyewahiq kukopa katika mabank hapa nchini,kwa miradi ya kilimo cha kumwagilia na greenhouse. Nitashukuru kupata maelekezo yenu. Siku njema.
Waslaamu, Naomba maelekezo kwa aliyewahiq kukopa katika mabank hapa nchini,kwa miradi ya kilimo cha kumwagilia na greenhouse. Nitashukuru kupata maelekezo yenu. Siku njema.
adden JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 7,033 Reaction score 15,638 Mar 7, 2018 #2 Equity bank. Lakini hawakupi we keshi wanaipa kampuni ya greenhouse ambayo watakufungia kila kitu hadi irrigation drip pamoja na kukupandia mbegu zao.jaribu equity
Equity bank. Lakini hawakupi we keshi wanaipa kampuni ya greenhouse ambayo watakufungia kila kitu hadi irrigation drip pamoja na kukupandia mbegu zao.jaribu equity
Chiwaso JF-Expert Member Joined Oct 21, 2009 Posts 5,726 Reaction score 3,778 Mar 7, 2018 #3 kluger said: Waslaamu, Naomba maelekezo kwa aliyewahiq kukopa katika mabank hapa nchini,kwa miradi ya kilimo cha kumwagilia na greenhouse. Nitashukuru kupata maelekezo yenu. Siku njema. Click to expand... Benki ya Nyumba Mkuu.
kluger said: Waslaamu, Naomba maelekezo kwa aliyewahiq kukopa katika mabank hapa nchini,kwa miradi ya kilimo cha kumwagilia na greenhouse. Nitashukuru kupata maelekezo yenu. Siku njema. Click to expand... Benki ya Nyumba Mkuu.