Wickama JF-Expert Member Joined Mar 8, 2009 Posts 1,466 Reaction score 1,196 Feb 27, 2015 #1 Wadau, mimi nikifika mto wami wakati naenda au narudi toka dar huwa nanyamaza mpaka gari livuke. Wewe mwenzangu wapi pana kunyamazisha?
Wadau, mimi nikifika mto wami wakati naenda au narudi toka dar huwa nanyamaza mpaka gari livuke. Wewe mwenzangu wapi pana kunyamazisha?