Ni baraka tele kwa Trump kwani NGOs uchwara zitapungua!

Ni baraka tele kwa Trump kwani NGOs uchwara zitapungua!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Tuwashukuru Trump na Elon Musk kwa jaribio hili nyeti la kutuondishea wahuni kwa jina la misaada.
sasa ni wakati na fursa wa Serikali yetu kufanya upembuzi yakinifu kuhusu misaada sio tu ya USAID bali wote wanaoleta misaada hiyo nchini.

Je inawafikia na kuleta tija kwa walengwa au ni chaka jingine la wapigaji?

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
NGOs uchwara ndio zipi? NGOs zimesaidia sana hata maambukizi ya VVU yameshuka sana n.k kwahiyo hata kama yanazuga zuga ila yanaongeza mzunguko wa fedha maana walikua wanatoa bajeti kubwa kusaidia upatikanaji maji, madawa, uzalishaji mazao n.k.
 
Tuwashukuru Trump na Elon Musk kwa jaribio hili nyeti la kutuondishea wahuni kwa jina la misaada.
sasa ni wakati na fursa wa Serikali yetu kufanya upembuzi yakinifu kuhusu misaada sio tu ya USAID bali wote wanaoleta misaada hiyo nchini.
Je inawafikia na kuleta tija kwa walengwa au ni chaka jingine la wapigaji?

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Ina maana hujawahi kuona kazi zinazofanywa na NGOs? Unashabikia upumbavu! Siyo NGOs zote zinapata hela kutoka Marekani!
 
Tuwashukuru Trump na Elon Musk kwa jaribio hili nyeti la kutuondishea wahuni kwa jina la misaada.
sasa ni wakati na fursa wa Serikali yetu kufanya upembuzi yakinifu kuhusu misaada sio tu ya USAID bali wote wanaoleta misaada hiyo nchini.

Je inawafikia na kuleta tija kwa walengwa au ni chaka jingine la wapigaji?

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Nini kiliwazuia kufanya upembuzi yakinifu kabla? Wakishafanya upembuzi yakinifu ndo misaada itarudi?
 
Tuwashukuru Trump na Elon Musk kwa jaribio hili nyeti la kutuondishea wahuni kwa jina la misaada.
sasa ni wakati na fursa wa Serikali yetu kufanya upembuzi yakinifu kuhusu misaada sio tu ya USAID bali wote wanaoleta misaada hiyo nchini.

Je inawafikia na kuleta tija kwa walengwa au ni chaka jingine la wapigaji?

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
HIzo NGO ndio chanzo cha maambukizi kushuka, in late 1990s to 2000s USAID ilikuwa serious na huo ugonjwa. Otherwise gov ilikuwa imeshazidiwa, else tu tungekuwa kama south africa


Evn sasa, wame shut down operations, ni suala la muda kabla serikali haijawa overuned na hili suala
 
HIzo NGO ndio chanzo cha maambukizi kushuka, in late 1990s to 2000s USAID ilikuwa serious na huo ugonjwa. Otherwise gov ilikuwa imeshazidiwa, else tu tungekuwa kama south africa


Evn sasa, wame shut down operations, ni suala la muda kabla serikali haijawa overuned na hili suala
Tanzania iko na.pesa mingi sana swala.ni usimamizi kupunguza matumizi angalia magari na washiriki kwenye mikutano yao pia viongozi kusafiri na timu kubwa na muda wa safari.
Tume lukuki kuundwa.
Kwani JPM alikuwa anapata wapi pesa za miradi!
Amkeni. DT ni kubwa lao!
 
Back
Top Bottom