Habari
Guys kwa mtu yeyote anaejua magari mazuri ya kusafiria safari za mkoani especially mbeya aniambie Luxury Bus
kama kuna sehem za kuchaji ikiwezekana ..kwa anaejua au amesikia ni bus zuri aseme.
Thanks in advance.
NB:If you have negative minded don't reply.
Panda About Bus Service
Marcopolo Andare Class hutojuta
uvae sweta eh.Habari
Guys kwa mtu yeyote anaejua magari mazuri ya kusafiria safari za mkoani especially mbeya aniambie Luxury Bus
kama kuna sehem za kuchaji ikiwezekana ..kwa anaejua au amesikia ni bus zuri aseme.
Thanks in advance.
NB:If you have negative minded don't reply.
Sasa kwanini usipande bombadia, Mimi nakushauri achana na mabus hayoHabari
Guys kwa mtu yeyote anaejua magari mazuri ya kusafiria safari za mkoani especially mbeya aniambie Luxury Bus
kama kuna sehem za kuchaji ikiwezekana ..kwa anaejua au amesikia ni bus zuri aseme.
Thanks in advance.
NB:If you have negative minded don't reply.
Ma bus mazur yapo kadhaa
Iman plus - bado jipyaa sana
Sauli - kuwahi ni jambo la kawaida sana
Alsaedy iwe yutong
Dar lux
Golden deer panda za tunduma no 1
Roho inatulia maana speed haipo kama basi zina overteck sehemu ambazo sio salamaKwan ukipanda maroli roho yako inakua wapi?
Death is never escaped yani kokote pale unakufa bro.