Ni benki gani inatoa mkopo bora kati ya NMB na CRDB

That's True coz hakuna kitu tamu kama mkopo
 
Ni kweli kabisa Mkuu
 
Nenda bank zote 2 onana na afisa mikopo atakufanyia hesabu, linganisha wapi utapata unafuu.

Pia kama walivyotangulia kusema wachangiaji wengine, usipende kuanza biashara kwa kukopa pesa, anza kwa kushirikisha nguvu zako mwenyewe kidogokidogo mpaka pale utakapo ona inalipa na chamgamoto zake umezimudu, ndipo unaweza kukopa bwana mwalimu.
 
Huwezi kukua bila ya kukopa
Ukiwa bondia usiogope manundu!
 
Nakushauri usikope kwanza anza kilimo kwa mtaji mdogo kwanza ambao utatoka ktk mshahara wako.
Ili ujifunze changamoto za kilimo
ukishazijua ndio uchukue mkopo.
 
The higher the risk the higher the return. Kinachorudisha peaa si faida unayoiona kwenye biashata au project. Kinachorudisha faida kinatokana na idea ya project unayotaka kufanya. Ukiona umekubaliwa kuchukua mkopo kutokana a business idea unayotaka kuifanyia basi elewa wataalam wanaona kuna manufaa. After all duniani kote mitaji inapatikana kwa kukopa. Biashara ni idea na plan. Ukiwa na poor planning hata ukikopa kwaajili ya kuiendeleza biashara utakwama tu. Tatizo wengi wanakosa uthubutu. Anyway, kati ya CRDB na NMB uzuri wao unategemea na aina ya mkopo ibaotaka kukopa mfanp morgage au unsecured. Nimeskia kwa morgage nmb is better than crdb. Insecured siwezi kuwapima crdb sababu waliacha kutoa kwa muda kama wameanza ni recent. Ila nmb wapo good pia kwa uzoefu. Kopa kwa malengo.
 
Tanzania Postal Bank ( TPB ) hutojuta!!
hawa jamaa riba yao ni kubwa me naoona wako poa ni equity ile ya kenya ila huko cdhani kama ipo crdb na nmb bora nmb ila kaka kweli m13 ukalime tikiti? asee labda ungenambia ununue mashamba na viwanja ukae baada ya miezi 6 unauzaunanunua tena au ununue mashamba upande miti isisahau kuwa na mradi ambao utakufanya ile gap ya mshahara usiione me nina kiduka kidogo kinansogeza na nlinunua viwanja so nasubiria mwakani nianze kuviuza nijenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…