Kwa sisi watumishi wa umma ambao ni Waislam na tunahitaji kukopa kwenye hizi bank ili kuendeleza maisha je ni bank ipi Sahihi isiyo na riba kwa hapa Tanzania?
Assalam aleykum
Kwa Sisi watumishi wa umma ambao ni waislam na tunahitaji kukopa kwenye hizi bank ili kuendeleza maisha je ni bank ipi Sahihi isiyo na riba kwa hapa Tanzania ?