alexxis Member Joined Sep 24, 2015 Posts 6 Reaction score 0 Sep 25, 2015 #1 Naomba msaada wa ushauri waungwana.Ni biashara gani ukipeleka haya maeneo inalipa sana.
PACHOTO JF-Expert Member Joined Dec 30, 2011 Posts 1,321 Reaction score 973 Sep 25, 2015 #2 alexxis said: Naomba msaada wa ushauri waungwana.Ni biashara gani ukipeleka haya maeneo inalipa sana. Click to expand... Kwa lindi mzunguko wa fedha ni mdogo sana, labda ungeeleza biashara ulizonazo dkukushauri kukushauri
alexxis said: Naomba msaada wa ushauri waungwana.Ni biashara gani ukipeleka haya maeneo inalipa sana. Click to expand... Kwa lindi mzunguko wa fedha ni mdogo sana, labda ungeeleza biashara ulizonazo dkukushauri kukushauri
alexxis Member Joined Sep 24, 2015 Posts 6 Reaction score 0 Sep 25, 2015 Thread starter #3 PACHOTO said: Kwa lindi mzunguko wa fedha ni mdogo sana, labda ungeeleza biashara ulizonazo dkukushauri kukushauri Click to expand... nataka kupeleka pochi na viatu vya kike mkuu
PACHOTO said: Kwa lindi mzunguko wa fedha ni mdogo sana, labda ungeeleza biashara ulizonazo dkukushauri kukushauri Click to expand... nataka kupeleka pochi na viatu vya kike mkuu
Mu-sir JF-Expert Member Joined Oct 12, 2010 Posts 3,621 Reaction score 1,636 Sep 25, 2015 #4 Songosongo ni kisiwa na ni bora uende kufanya utafiti kabla hujapeleka chochote
Ramea JF-Expert Member Joined Mar 19, 2015 Posts 2,146 Reaction score 4,084 Sep 25, 2015 #5 Peleka kanzu, majuba, misuli, mitandio, hijab, na marashi ya ki ustaadh na maustaadhat. Usisahau udi na ubani. Utatoka ndani ya muda mfupi.
Peleka kanzu, majuba, misuli, mitandio, hijab, na marashi ya ki ustaadh na maustaadhat. Usisahau udi na ubani. Utatoka ndani ya muda mfupi.
alexxis Member Joined Sep 24, 2015 Posts 6 Reaction score 0 Sep 25, 2015 Thread starter #6 Ramea said: Peleka kanzu, majuba, misuli, mitandio, hijab, na marashi ya ki ustaadh na maustaadhat. Usisahau udi na ubani. Utatoka ndani ya muda mfupi. Click to expand... asante sana mkuu.na vipi mzunguko wa pesa kwenye kisiwa cha songosongo
Ramea said: Peleka kanzu, majuba, misuli, mitandio, hijab, na marashi ya ki ustaadh na maustaadhat. Usisahau udi na ubani. Utatoka ndani ya muda mfupi. Click to expand... asante sana mkuu.na vipi mzunguko wa pesa kwenye kisiwa cha songosongo