Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DahWakuu ushauri wenu ni muhimu. Ni biashara gani naweza kuifanya nikiwa na kiasi cha tsh million 25? Naamini kwa ushauri wenu na wengine watajifunza kitu hapa.
Ahsante.
Toa wazo acha kusikitika, upo mkoa Gani mtoa mada? Kuna biashara ya vitu used kutoka Zanzibar ukipata connection nzuri ni pesa inazaa pesaDah
Penye miti hapana wajenzi
All the best mkuu
Mama mchungaji habari yakoFanya biashara ya nafaka
Mungu amem bariki mtu anahefanya biasha ya chakula
Hii ya bajaji kwa mkoa niliopo hailipi kama zamani.Kama huna uzoefu wa business, chukua 10m nunua bajaji anza kupiga ruti za kimara - manzese.
Kwa siku utalaza faida siyo chini ya 20k baada ya kula na mafuta. Kwa mwezi 600k
15m nyingine weka fixed account
Upo mkoa gan mkuuHii ya bajaji kwa mkoa niliopo hailipi kama zamani.
20m iende UTT kwa mwezi atapata ongezeko km la 150-190k hv, hiyo 5m ndo ajilipue nayoMilioni 25 uwekeze kichwakichwa kwenye biashara ya kuambiwa lazima uumie. Biashara ni wito, ni kujitoa, ni malengo, maono.
Sasa wewe huna wito wa kuuza spare kwa mfano, au wito wa kuuza vyakula, au gadgets. Ghafla unashawishika na mtu hapohapo ukiwa na hela mkononi, unakurupuka kuanza bila upembuzi makini sababu unaona unachelewa hela utaitumia. Kisa una hela basi unajilipua.
Tafuta biashara kwa theory, ujifunze practically. Toa hata 5M ya kujifunzia ukiona umeikuza ndio uendelee kuongeza kutoa kwenye ile 20M iliyobaki. Bora kuweka 20M fixed benki kwa 6 months uambulie interest kidogo ila hela iwe salama kuliko kuwekeza yote baadae ukapiga yowe.
Mpe na mbinu pia za kukwepa Kodi pale bandariniToa wazo acha kusikitika, upo mkoa Gani mtoa mada? Kuna biashara ya vitu used kutoka Zanzibar ukipata connection nzuri ni pesa inazaa pesa
Maungana na wewe20m iende UTT kwa mwezi atapata ongezeko km la 150-190k hv, hiyo 5m ndo ajilipue nayo
Njoo kwenye mazao/maliasili hautajuta ukituliza akili.Wakuu ushauri wenu ni muhimu. Ni biashara gani naweza kuifanya nikiwa na kiasi cha tsh million 25? Naamini kwa ushauri wenu na wengine watajifunza kitu hapa.
Ahsante.
fanya bishara ya nafaka ila usiweke ela yote, au biashara ya simu anza na simu za vei rahisi. ( naomba laki rafiki yng)Wakuu ushauri wenu ni muhimu. Ni biashara gani naweza kuifanya nikiwa na kiasi cha tsh million 25? Naamini kwa ushauri wenu na wengine watajifunza kitu hapa.
Ahsante.