kimara Kimara
Member
- Jul 7, 2024
- 80
- 173
Habari wadau, moja kwa moja kwenye mada.
Ni biashara gani ama huduma ipi unaweza kufanya ambayo haina BEI ELEKEZI, yani bei unajipangia wewe mwenyewe?
Mfano wa biashara za bei elekezi nin kama duka la takataka, Madawa, Vyakula, Kuuza magari, nguo, nafaka n.k.
Naomba kujua biashara/ huduma ambazo unaweza fanya na hazina bei elekezi.
Ni biashara gani ama huduma ipi unaweza kufanya ambayo haina BEI ELEKEZI, yani bei unajipangia wewe mwenyewe?
Mfano wa biashara za bei elekezi nin kama duka la takataka, Madawa, Vyakula, Kuuza magari, nguo, nafaka n.k.
Naomba kujua biashara/ huduma ambazo unaweza fanya na hazina bei elekezi.