Joseph Mwaluanda
Member
- Jan 19, 2014
- 15
- 5
Ndugu wana jukwaa ningependa kupata elimu kutoka kwenu kwamba ni biashara ya ukubwa gani inapaswa kukatiwa lesseni ya biashara, lakini zaidi natamani kufaham ni pato kiasi gani kwenye biashara linapaswa kulipiwa kodi ya mapato kwa mwaka,,!!