Ni biashara ya ukubwa gani inapaswa kukatiwa lesseni kisheria??

Joined
Jan 19, 2014
Posts
15
Reaction score
5
Ndugu wana jukwaa ningependa kupata elimu kutoka kwenu kwamba ni biashara ya ukubwa gani inapaswa kukatiwa lesseni ya biashara, lakini zaidi natamani kufaham ni pato kiasi gani kwenye biashara linapaswa kulipiwa kodi ya mapato kwa mwaka,,!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…