Ni bidhaa gani tunayopeleka nje(export) kama bidhaa iliyokamilika (finished product).

Ni bidhaa gani tunayopeleka nje(export) kama bidhaa iliyokamilika (finished product).

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Inafahamika, kupeleka vitu vyetu tulivyovitengeza sisi wenyewe katika masoko ya nje, vitatuingizia fedha za kigeni, pamoja na kuimarisha uchumi.

Tuna baadhi ya viwanda hapa nchini, ila sijajua ni bidhaa zipi wanazozalisha na kuzipeleka kwenye masoko ya nje, kama; Ulaya, Urusi, Marekani, China na huko kwingineko.

Ingawa kwenye masoko ya ndani (ya kutumia Tshs), bidhaa zinaonekana.

Karibuni wakuu, kwa mjadala.​
 
1. Kuna bulb brand za VOLTAPLUS zinatengenezwa na MWANGA BORA TZ, zinauzwa Hadi Nairobi,Kampala,drc n.k

2. Kuna vyandarua na viroba vya nafaka vinatengenezwa A to Z pale Arusha, vinauzwa East Africa nzima

3. Kuna plastic za cello,
Zinauzwa eastafrica nzima

4. Kuna juice, soda na bidhaa mbali mbali zinazalishwa na bakhresa, zinauzwa uko East Africa na SADC nzima
 
Inafahamika, kupeleka vitu vyetu tulivyovitengeza sisi wenyewe katika masoko ya nje, vitatuingizia fedha za kigeni, pamoja na kuimarisha uchumi.

Tuna baadhi ya viwanda hapa nchini, ila sijajua ni bidhaa zipi wanazozalisha na kuzipeleka kwenye masoko ya nje, kama; Ulaya, Urusi, Marekani, China na huko kwingineko.

Ingawa kwenye masoko ya ndani (ya kutumia Tshs), bidhaa zinaonekana.

Karibuni wakuu, kwa mjadala.​
Tuna export sana Watu na Akili zao as Finished Product.

Amani
 
Back
Top Bottom