Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
mkuu dadavua kidogo
ni kweli nipo mtupu sana.ngoja nitafute ada
Mkuu tunaweza kuonana nikakufundisha mambo ya Forodha. Maana naona yamekupitia mbali
hakuna imported bidhaa ambayo hainaNi bidhaa zipi zinazoingia ndani ya Tanzania kutoka nje ya nchi bila kodi Tanzania? Kwa mfano pedi za wanawake nasikia hazina kodi ila sijaprove.
Hapa huwezi kufundisha au ndo janja ya nyani.Mkuu tunaweza kuonana nikakufundisha mambo ya Forodha. Maana naona yamekupitia mbali
Hapa huwezi kufundisha au ndo janja ya nyani.