Ni bora aondoke Nabi ila Mayele abaki

Ukiona Nabi kaondoka, basi na Mayele naye atamfuata huko anakokwenda. All in all, Yanga bado ina nafasi ya kuendelea kufanya vizuri kwa miaka kadhaa mbele.
 
Mayele na Nabi kubaki Yanga labda tuwe na msuli mkubwa wa kifedha, ila Mayele yule sokoni anakaribia USD 500 na sizani kama Yanga wataiacga,Nabi mafanikio aliyo yapata msimu huu lazima wenye vibunda waweke mzigo hasa waarab.

Natamani sana Nabi abaki, Mayele akionda sio mbaya.Ila kutafuta kocha mpya nakuanza kuiunda timu mpya,aingize falsafa zake wachezaji wazielewe,inaweza ikachukua mda kidogo.
 
Huyu ndugu kaiweka na Ngao ya jamii ndani kwa kujiamini kabisa anakwambia, Wananchi tumemaliza msimu kwa kubeba treble maara 2 mfululizo...
Upande ule wenye matumizi mazuri ya ubongo ni wawili!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ung'ang'ane na mchezaji mwenye 29 yrs aliyo kwenye peak na thamani ipo kwenye peak uache hela ya usajili wake mpaka misimu ijayo akiwa na 30's na kiwango kikianza kushuka ndo umuuze. Huo ni ujinga Labda kama kakupa uhakika wa kukupeleka fainali kombe la klabu bingwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…