Ni bora mjadala wa Katiba ukafanyiwa kazi sasa, ikisubiri uchaguzi itawashindisha wapinzani mchana kweupe

Ni bora mjadala wa Katiba ukafanyiwa kazi sasa, ikisubiri uchaguzi itawashindisha wapinzani mchana kweupe

Lyambalyetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2021
Posts
278
Reaction score
255
Kampeni za Uchaguzi 2025 zitatawaliwa na wapinzani kuahidi kuleta Katiba Mpya mara watakaposhinda! Kwa sasa WaTanzania wanataka Katiba Mpya na kumfunga Mbowe kunachochea Zaidi mjadala huo.

Kwa kuwa CCM wameshindwa kuwawezesha wananchi kiuchumi - shida zimekuwa nyingi kupita kiasi , maisha ya WaTanzania yamekuwa duni sana - kila siku haina matumaini hata mimi na kiofisi change hapa Kiomboi ninaona hali ni ngumu mnoooo.

Kila uchaguzi CCM wamekuwa wakiahidi kutuwezesha kuwa na maisha bora lakini sera na ilani zao vyote vimeshindwa kutufanyia kwa mujibu wa ahadi zao.

CCM wenzangu hawajachoka wanaendelea na mambo hayo hayo ya kuahidi kutuwezesha. TUMECHOKA sana sana.
Ninachohitaji kwa sasa nina Katiba mpya ambayo italeta demokrasia ya maamuzi sio kuamuliwa kwa nguvu. Dkt. Mwigulu mwaka jana amenitumia mie mwenyewe kuiba Uchaguzi na sasa ninajuta kwa yeye kutotekeleza alichoniahidi.

Nimeona sasa ni vema tuwe na demokrasia ya kweli. Demokrasi ya kweli italetwa na Katiba Mpya - ubabe wa akina Mwigulu na kufuru za kifedha zifike mwisho.

Watakaoahidi kutupatia Katiba mara baada ya Uchaguzi tutawapa kura na tutazilinda zisiibwe. CCM tuendelee kuzuia tu, mwisho wetu umefika.
 
Unaitaka Katiba Mpya kwasababu gani, njaa iliyokufanya utumiwe na Mwigulu imeisha?

Kama Mwigulu angekukumbuka kwenye ufalme wake ungeidai Katiba Mpya?

Katiba Mpya inatakiwa na wale wenye maono ya kuitanguliza Tanzania kwanza, sio mtu, ije kutuweka sawa mbele ya watu wa sampuli yako wanaojiona wako juu ya wengine kwasababu ya kutumiwa na wanasiasa.
 
Unaitaka Katiba Mpya kwasababu gani, njaa iliyokufanya utumiwe na Mwigulu imeisha?

Kama Mwigulu angekukumbuka kwenye ufalme wake ungeidai Katiba Mpya?

Katiba Mpya inatakiwa na wale wenye maono ya kuitanguliza Tanzania kwanza, sio mtu, ije kutuweka sawa mbele ya watu wa sampuli yako wanaojiona wako juu ya wengine kwasababu ya kutumiwa na wanasiasa.
Ninakiri kuikosea sana nchi yangu kutumiwa na Dr. Mwigulu. Kwa sasa nimemka kwa sababu ninajua Katiba hii ndiyo iliweza kumfanya Dr. Mwigulu atununue mimi na wenzangu!
 
Kampeni za Uchaguzi 2025 zitatawaliwa na wapinzani kuahidi kuleta Katiba Mpya mara watakaposhinda! Kwa sasa WaTanzania wanataka Katiba Mpya na kumfunga Mbowe kunachochea Zaidi mjadala huo.

Kwa kuwa CCM wameshindwa kuwawezesha wananchi kiuchumi - shida zimekuwa nyingi kupita kiasi , maisha ya WaTanzania yamekuwa duni sana - kila siku haina matumaini hata mimi na kiofisi change hapa Kiomboi ninaona hali ni ngumu mnoooo.

Kila uchaguzi CCM wamekuwa wakiahidi kutuwezesha kuwa na maisha bora lakini sera na ilani zao vyote vimeshindwa kutufanyia kwa mujibu wa ahadi zao.

CCM wenzangu hawajachoka wanaendelea na mambo hayo hayo ya kuahidi kutuwezesha. TUMECHOKA sana sana.
Ninachohitaji kwa sasa nina Katiba mpya ambayo italeta demokrasia ya maamuzi sio kuamuliwa kwa nguvu. Dkt. Mwigulu mwaka jana amenitumia mie mwenyewe kuiba Uchaguzi na sasa ninajuta kwa yeye kutotekeleza alichoniahidi.

Nimeona sasa ni vema tuwe na demokrasia ya kweli. Demokrasi ya kweli italetwa na Katiba Mpya - ubabe wa akina Mwigulu na kufuru za kifedha zifike mwisho.

Watakaoahidi kutupatia Katiba mara baada ya Uchaguzi tutawapa kura na tutazilinda zisiibwe. CCM tuendelee kuzuia tu, mwisho wetu umefika.
Absolutely
 
Back
Top Bottom