Ni bora umuoe huyo msaidizi wa ndani kama mke wako kamuachia majukumu

Ni bora umuoe huyo msaidizi wa ndani kama mke wako kamuachia majukumu

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Ukiona kazi nyingi za nyumbani zinafanywa na beki tatu (mfanyakazi wa ndani) kama kukufulia nguo, kuzipiga pasi nguo zako, kufanya usafi wa nyumba, kukupikia chakula, kukupokea unapotoka katika miangaiko, kuwaandaa watoto, kuwafanyia usafi watoto, kuweka mazingira ya nyumba yapendeze n.k

Muoe huyo beki tatu, kwa sababu mke uliyenaye ni 'toy'
 
Ukweli ni kwamba wife material huwa hawana iPhone
Screenshot_20211026-140138.jpg
 
Kuna jamaa jirani yetu alikuwa anakula mahouse girl wao tu,kuoa haoi licha ya kuwa umri umeenda,akatokea mmoja ambaye wazazi walikuwa wanamkubali wakala njama ya fumanizi na binti,dili likatiki ndugu wakaingilia kati,harusi ikapangwa jamaa akaoa, huu ni mwaka wao wa 24 wa ndoa wanakula mema ya nchi
 
Dawa yya mwanamke mzembe ni kumtafutia House girl wa kimburu pisi kali.

Utaona kama hajaanza kuwa mke mwema maana competition itamtisha.
 
Back
Top Bottom