Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
hahahahaha aiseeAkiolewa na yeye anatafuta beki tatu.
Hapo unamwambia ukwel kuwa juhudi zako ndio zilinivutia kwaiyo ukizipuuza na mm nakupuuzaHivi unawajua wanawake vizuri kweli wewe? Ye mwenyewe akishaingizwa ndani anatafuta msaidizi anaona ni muda wa yeye kupumzika sasa
Wapewe na nafasi ya heshima kwenye vikao vya familia na ukooMahausigelo watembee vifua mbereee
Dawa yya mwanamke mzembe ni kumtafutia House girl wa kimburu pisi kali.
Utaona kama hajaanza kuwa mke mwema maana competition itamtisha.