Freedom huku mtu ana njaa mkuu?Acha ujinga. Freedom is basic of all basics. Nenda gerezani uone kama hakuna Msosi na maji
Unasema wana akili, kisha unasema tena hawana rasilimali. Hizo akili zao ndio rasilimali zenyewe mkuuAfu waisrael hao hao wako jangwani lakini uchumi wao uko juu kuliko sisi unajua sababu akili wale jamaa hawana rasilimali kama sisi. Hawana shida ya maji wala umeme.
Freedom huku mtu ana njaa mkuu?
Sawa mkuu. Freedom nyingi na njaa nyingi si sawa. Mambo yawe 50/50Unachanganya mambo . Kwani freedom ndo imeleta njaa?
Do you wanna be a well fed slave?Sawa mkuu. Freedom nyingi na njaa nyingi si sawa. Mambo yawe 50/50
A well-balanced system, that's my favoriteDo you wanna be a well fed slave?
Or a hungry freeman?-Lucky Dube
zote ni kibokoDo you wanna be a well fed slave?
Or a hungry freeman?-Lucky Dube
zote kiboko ni sawa na; je unachagua unyongwe kwa mashine au kwa kamba?!Do you wanna be a well fed slave?
Or a hungry freeman?-Lucky Dube
Of course freedom ina mipaka yake. Issue ni kuongea kana kwamba freedom ndo inaleta njaa. Njaa inaweza kuwepo katika utumwa piaSawa mkuu. Freedom nyingi na njaa nyingi si sawa. Mambo yawe 50/50