Binafsi napendekeza uangalie
1. Index...hizi ni za India...nilinunua dry ikadumu miaka miwili na miezi nane ikafa...bei niliuziwa 140000 Arusha.
2.Atlas...hii ndiyo natumia kwa sasa..inatoka Korea..nayo ni dry..hii kwa sasa ina mwaka na miezi sita tangu niinunue...bado haijaanza kunisumbua....hata nikipaki gari wiki nzima nikija ni jino moja tu . Hii nilinunua 120000 Arusha
NB..zote ni N40.
Kuwa makini nasikia Atlas fake zimeshaenea sana mjini.