American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 673
- 974
Aisee asante sikutegemea jibu safi kama hili nashukuru sanaBroker wanazaliwa kila kukicha.
http://www.www.100forexbrokers.com/fx/broker_search.php tumia hiyo link kutafuta broker kulingana na vigezo unavyovihitaji
Halafu ukishampata nenda Forex Peace Army ukasome reviews za watu waliomtumia broker huyo.
Hivi ndivyo mimi niliwapata brokers ninaowatumia.
Sikuwahi kumuuliza mtu eti ni broker gani ni mzuri.
Hii njia niliyokupa haikufai kama hauna knowledge yoyote kuhusu forex brokers.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] Njaa mbaya sana, kwahyo unauza strategy, kama inakupa ela si utulie nayo uendelee kupiga ela, ela za mfukon mwa watu nazo unazitakia nin,, kwann unatangaza kuuza kuna alipenda strategy yako,mpk unasema unauza??Na pia strategy hii itakua poa zaid kama ukimtumia broker nnae mtumia mm kwa kufungua account kupitia referral link yangu boss wangu!!! Narudia kwa mara nyingine tenah!! KARIBU PM [emoji119]
@YoungJigger
Hela zako kauzie maembe tu aisee, kama hata kuandika kunakusimbua kiasi hiki.Habari wazee, Nimeshafanya mazoezi ya kutosha nataka kuanza kutrade, Nahitaji kujua ni Broker yupi anafaa. Sihitajj matapeli au wahunihuni.
NB nimejaribu Kusignup kwa baadhi, ila naambiwa nchi yangu hairuhusiwi. Naombeni muongozo wataalamu kwa kutrade
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] Njaa mbaya sana, kwahyo unauza strategy, kama inakupa ela si utulie nayo uendelee kupiga ela, ela za mfukon mwa watu nazo unazitakia nin,, kwann unatangaza kuuza kuna alipenda strategy yako,mpk unasema unauza??
No hate No fear, acha kutapeli watu,, povu kadri ya itakavyokugusa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ontario yuko vizuri upande huo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ulitegemea jibu baya? Kwahio uliuliza kutukejeli? Au ulikua na maana gani/?
Pitia link hii: Forex trading: Taarifa sahihi za Templer forex broker
Bro strategy yako inafanyaje kazi? Naomba kujua.Mkuu kabla ya yote naomba nijue elimu yako kwanza!! Then nikufundishe kitu ambacho kitakupa mwanga kwenye maisha yako mbelen huko!!
@YoungJigger
Imebase kwenye SR and moving average na pia fibo!! Low drawdowns and high incomeBro strategy yako inafanyaje kazi? Naomba kujua.
Kuna harufu ya mtu kupigwa hapa..