Ni busara kwa masheikh wa uamsho kukaa kimya kuliko hivi wafanyavyo

Ni busara kwa masheikh wa uamsho kukaa kimya kuliko hivi wafanyavyo

safuher

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
11,837
Reaction score
17,412
Sote tunakubali kwamba haikuwa vizuri nyie kukaa muda wote huo huku hamjui hatma ya kesi yenu.

Sote tunajua kwamba mliishi kwa shida huko jela kama ambavyo waliishi wengine wasiokuwa nyinyi(shida zinazidian)

Lakini naomba sana nyie mashekhe mshapata bahati mumetoka mnatakiwa mutulie kama kusimulia simulieni huko mtaani lakini sio kupita kwenye mitandao huku mkieleza mambo kadha wa kadhaaa.

Yaliyopita si ndwele mashekhe tugange yanayokuja.

Nilimsikia juzi shekh msellem kana kwamba anajisafisha hivi.

Mkianza kujisafisha watu watafungua mafaili yenu waanze kuwachafua tena na kutuma video zenu za mihadhara namna ambavyo mlikuwa na kauli kali za kichochezi.

Busara tulieni,mshatoka fanyeni mambo mengine sasa hivi msijisahau saaaana mkaona kwa kuwa nchi anayo fulani.

Kumbukeni waliowawekeni ndani bado wapo hai.
 
Hawa watu na ndugu yao Mdude hawana shukrani,ni sawa na kumsaidia maskini lazima akushushue
Wanatakiwa wajifunze kukaaa kimya tu Yaliyopita yamepita.

Wao walikosea sehemu kwa upande wao.
Hivyo wakianza kujisafisha sasa hivi kuna watu wataanza kuwaonesha makosa yao ya wakati ule.

Watulie tu wafanye daawa
 
Nilisema hawa ingawa ni waislam wenzangu ila wasiachiwe.
 
Wakiliamsha dude watarudi ndumo mpaka wazeekee huko. Watulie
 
Kwakweli nikifatilia historia ya watu waliowahi kuwa na mzozo dhidi ya dola naona kabisa kwa kesi waliokuwa nayo wamekuwa wenye bahati sana ..mimi pia nawasihi watumie hekima kwa kukaa kimya na kufurahia maisha ya uraiani...hata huko ulaya hakuna serikali inayovumilia harakati zozote za kuipinga..naombeni masheikh muungane na wenzenu kuwaokoa waamini wenu waliotumbukia kwenye dhambi.. ya serikali waachieni wasirikali
 
Kwakweli nikifatilia historia ya watu waliowahi kuwa na mzozo dhidi ya dola naona kabisa kwa kesi waliokuwa nayo wamekuwa wenye bahati sana ..mimi pia nawasihi watumie hekima kwa kukaa kimya na kufurahia maisha ya uraiani...hata huko ulaya hakuna serikali inayovumilia harakati zozote za kuipinga..naombeni masheikh muungane na wenzenu kuwaokoa waamini wenu waliotumbukia kwenye dhambi.. ya serikali waachieni wasirikali
Naam kabisa kaka.

Kwa clip zao mbalimbali ambazo zilikuwa na lugha ngumu alafu wamechomoka kwa rehma za mola.

Sasa hivi watulie tu.

Ila nashangaa sana ati bado wanazungumzia yale ya huko jela na clip zinarushwa kabisa
 
The truth hurts eh??

Kuongea ni kosa??
Kama wanafanya uchochezi wakamatwe washatkiwe kwa uchochezi..

Why unataka waishi kwa unyonge na woga?..

Waongee lolote lile kwa Uhuru mradi hawavunji sheria
 
Mwamposa yeye aliuwa watu kabisa ajabu hata selo hakukanyaga na hakuna aliyezungumza,yule mwingine aliishiwa kuitwa kamati ya bungu wakambembeleza.Msione tupo kimya tunaona kila kitu ila tumekausha tu.
 
Sote tunakubali kwamba haikuwa vizuri nyie kukaa muda wote huo huku hamjui hatma ya kesi yenu.

Sote tunajua kwamba mliishi kwa shida huko jela kama ambavyo waliishi wengine wasiokuwa nyinyi(shida zinazidian)

Lakini naomba sana nyie mashekhe mshapata bahati mumetoka mnatakiwa mutulie kama kusimulia simulieni huko mtaani lakini sio kupita kwenye mitandao huku mkieleza mambo kadha wa kadhaaa.

Yaliyopita si ndwele mashekhe tugange yanayokuja.

Nilimsikia juzi shekh msellem kana kwamba anajisafisha hivi.

Mkianza kujisafisha watu watafungua mafaili yenu waanze kuwachafua tena na kutuma video zenu za mihadhara namna ambavyo mlikuwa na kauli kali za kichochezi.

Busara tulieni,mshatoka fanyeni mambo mengine sasa hivi msijisahau saaaana mkaona kwa kuwa nchi anayo fulani.

Kumbukeni waliowawekeni ndani bado wapo hai.
Wasukuma bhana,acheni wasiwasi

Kuachiwa kwao ni mpango wa mungu na ni jambo ambalo ilikua process,hata yule aliewafunga pengine alidhani wataishia huko milele lakini leo wako huru
 
Back
Top Bottom