Ni chakula/kinywaji gani haruhusiwi kutumia mpiga gym?

Ni chakula/kinywaji gani haruhusiwi kutumia mpiga gym?

muyatz

Member
Joined
Jul 12, 2017
Posts
50
Reaction score
19
Ni kitu gani au chakula/kinywaji gani ambacho haruhusiwi kutumia mpiga gym?
 
Eti wakuu ni chakula gani au kinywaji gani ambacho Apaswi kutumia mnyanyuaji chuma(GYM)
 
Eti wakuu ni chakula gani au kinywaji gani ambacho apaswi kuvitumia mnyanyua vyuma(GYM)
 
uji sababu usipo gangamara unaweza kutokea makalioni Na ukinyanyua chuma lazima ubane 0713 utani tuu
 
Back
Top Bottom