Ni chuo kipi au nchi gani mwanafunzi anaweza akaruhusiwa kuandika PhD kwa kiswahili, je inaruhusiwa?

Ni chuo kipi au nchi gani mwanafunzi anaweza akaruhusiwa kuandika PhD kwa kiswahili, je inaruhusiwa?

Brightg

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
372
Reaction score
662
Msaada tutani, naomba kufahamu ni chuo kipi kinaweza kumruhusu mwanafunzi wa PhD kuandika Thesis kwa kiswahili au ni nchi ipi. Msaada.

UPDATES:
---------------------

Maana yangu ni kwamba kuna watu wana PhD kingereza hawajui sasa nauliza Thesis waliandika kwa kiswahili?
 
PhD ya Kiswahili unaweza Kuruhusiwa kuandika kwa kiswahili. Kwa PhD nyingine nafikiri itategemea sera ya taifa/chuo kuhusu lugha ya kufundishia.
 
PhD sio lugha Bali maarifa, wapo wataalam wengi maprofesa wasiojua lugha ya kiingereza, achana na fikra potovu. Lugha sio Elimu na Elimu sio lugha Bali ujuzi na maarifa
 
PhD sio lugha Bali maarifa, wapo wataalam wengi maprofesa wasiojua lugha ya kiingereza, achana na fikra potovu. Lugha sio Elimu na Elimu sio lugha Bali ujuzi na maarifa
Yah, kweli kabisa. Kuna watu wengi tu wanajua kuandika kiingereza vizuri sana ila hawajui kuongea kizungu/kiingereza. Hivyo kuna uwezekano mkubwa sana mhitimu wa PhD akawa ameandika thesis yake kwa kiingereza lakini kwa upande mwingine asiwe mzuri wa kuongea kizungu hicho kwa ufasaha. Lugha na maarifa/elimu ni tofauti kuna watoto wadogo wanajua sana kuongea kiingereza lakini hawana maarifa ya elimu fulani.
 
Tupigie tutakufikia popote ulipo, tunaandika DISSERTATION na THESIS kwa wahitimu wa elimu ya juu.... bei ni nafuu na unalipa kidogo kidogo.
 
PhD sio lugha Bali maarifa, wapo wataalam wengi maprofesa wasiojua lugha ya kiingereza, achana na fikra potovu. Lugha sio Elimu na Elimu sio lugha Bali ujuzi na maarifa

Huyo 'mlengwa' hapa hata hayo maarifa anayo basi!
 
Yah, kweli kabisa. Kuna watu wengi tu wanajua kuandika kiingereza vizuri sana ila hawajui kuongea kizungu/kiingereza. Hivyo kuna uwezekano mkubwa sana mhitimu wa PhD akawa ameandika thesis yake kwa kiingereza lakini kwa upande mwingine asiwe mzuri wa kuongea kizungu hicho kwa ufasaha. Lugha na maarifa/elimu ni tofauti kuna watoto wadogo wanajua sana kuongea kiingereza lakini hawana maarifa ya elimu fulani.
Acha kupotosha watu.

Usijaribu kufanya excuse ya mambo yasiyo na maana.
 
PhD sio lugha Bali maarifa, wapo wataalam wengi maprofesa wasiojua lugha ya kiingereza, achana na fikra potovu. Lugha sio Elimu na Elimu sio lugha Bali ujuzi na maarifa
Kwenye mambo ya research na ukiwa unaandaa THESIS YA PHD yako hata kosa la punctuation marks linakurudisha ukafanye masahihisho.

Hii PHD utakayokuwa unaiongelea wewe labda iwe ya nguvu ya mfuko.
 
PhD sio lugha Bali maarifa, wapo wataalam wengi maprofesa wasiojua lugha ya kiingereza, achana na fikra potovu. Lugha sio Elimu na Elimu sio lugha Bali ujuzi na maarifa
Je unaweza sasa kujibu hilo swali la mleta mada?
 
PhD sio lugha Bali maarifa, wapo wataalam wengi maprofesa wasiojua lugha ya kiingereza, achana na fikra potovu. Lugha sio Elimu na Elimu sio lugha Bali ujuzi na maarifa
Kamwe usitahasibishe (underestimate) umuhimu wa lugha katika suala zima la kujenga, kukuza na kuhawilisha maarifa na ujuzi; "lieu-gar" ni "sir-war" na means ya usafiri mathalani gari, usiopokuwa nayo huwezi kufika kwenye destinesheni yako husika.
 
Back
Top Bottom