NI CRDB Bank Federation Cup

NI CRDB Bank Federation Cup

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Bank ya CRDB na TFF imeingia mkataba wa udhamini wa miaka mitatu na nusu na CRDB itatoa shilingi Bilioni 3.76 kwa kipindi chote cha miaka mitatu na nusu, ila msimu huu watatoa dollars laki moja sawa na shilingi milioni 255, sasa Kombe la FA litaitwa CRDB BANK FEDERATION.

Najiuliza
1. AZAM mkataba wake umeisha?

2. CRDB ameamua kuingia kwenye Soka baada ya kuona NBC anajitangaza sana?

Wataalam wa mambo karibuni kwa maoni na yenu
 
1. Azam alikuwa na broadcasting Rights tu sio Title Sponsor

2. Ni kweli ameona na yeye aingie rasmi

Hofu yangu kwenye zile timu zisizo na jersey nyingi, huku bega la kulia unavaa nembo ya NBC kushoto CRDB? Itaruhusiwa ili kuepusha mgongano wa kimaslahi
 
1. Azam alikuwa na broadcasting Rights tu sio Title Sponsor

2. Ni kweli ameona na yeye aingie rasmi


Hofu yangu kwenye zile timu zisizo na jersey nyingi, huku bega la kulia unavaa nembo ya NBC kushoto CRDB? Itaruhusiwa ili kuepusha mgongano wa kimaslahi
Hapana sponsor atasambaza na jersey
 
CRDB wanazubaaga sana sijui ni kubweteka sababu ya big customer base au tu ni lack of creativity. NBC japo kwa miaka kadhaa walikua wanajikongoja ila waliamua kujilipua kudhamini ligi kuu na kweli imekua na positive impact kwao na sasa CRDB ndio wanashtuka na wao. Japo mi mteja wa CRDB ila NBC wametisha sana tena ngoja nikafungue na account kwao itakua sio fair
 
hawa ndio walitaka kutia zengwe kwa wachezaji kuingia deals binafsi na benki mpinzani wa NBC.
 
CRDB wanazubaaga sana sijui ni kubweteka sababu ya big customer base au tu ni lack of creativity. NBC japo kwa miaka kadhaa walikua wanajikongoja ila waliamua kujilipua kudhamini ligi kuu na kweli imekua na positive impact kwao na sasa CRDB ndio wanashtuka na wao. Japo mi mteja wa CRDB ila NBC wametisha sana tena ngoja nikafungue na account kwao itakua sio fair
Binafsi Niko njiani kufungua acc NBC ya kuhifadhia hela ya Kutumia Dec huko nakuwa natupia vi change change ikifika Dec nakuwa don kidogo kuwaunga mkono
 
Back
Top Bottom