Kwa akina Mama najua Wao ni wepesi kwa Kugundua ( Kuwagundua ) Mabinti zao ila hapa nataka kwa Sisi Wababa ( akina Baba ) kuwa utawezaje kugundua mapema kuwa Binti yako Mpendwa kabisa Wanamume wameshaanza Kumnyiri / Kumngono / Kumtia kwa Kumuangalia tu? Leo nami nikipewa Maujanja naweza kuwa ni mwenye Furaha kwani kuna Vitu nimeanza Kuvishtukia kwa mbali.
Mkuu usipende kucomplicate maisha, kama haujui basi unakaa tu kimya waache wanaojua wajibu.Mwishowe utatembea na mwanao. Usidhani haya matukio ya wababa kutembea na watoto wao yanaibukaga tu. Unaanza kumchunguza chunguza matokeo yake unaanza kufikiri vitu hukutakiwa kufikiri kwa binti yako.
FIMBO HAZITAMFANYA AACHE ANACHOKIFANYA BALI ITAMFANYA AONGEZE UMAKINI ZAIDI JUU YA JAMBO HILO!Kwa hiki ulichokiandika hapa Ndugu muda si mrefu napiga Simu Kijijini Kwetu wanitafute Fimbo za Mianzi nije nimmalize Mtu kwani ameshaanza.
"Akitembea atabinua kiuno"😆😆Anakua msafi msafi muda wote, akitoka hata kama duka lipo nje tu hapo ataoga au kubadili nguo, akitembea atabinua kiuno, atakua hana uoga wala aibu, ukiongea nae anakukazia macho usoni, anakujibu majibu shortcut, akiagizwa dukani huchukua masaa mawili kutoka,
Ataanza kiburi na jeuri.
[emoji23][emoji23][emoji23]"Akitembea atabinua kiuno"[emoji38][emoji38]
Hii ni hatari.
Ila wewe ulivyokuwa unachipukia uliwachokonoa mkuu? [emoji23][emoji23] kama jibu ni ndiyo jiandaeWatu wanalaumu mtoa mada na kumshutumu ila mimi ni baba wa binti pia kiukweli jamaa kaanzisha mada njema sana... nasoma comment moja baada ya nyingine hii itanisaidia kuongeza maarifa kuhusu mabadiliko ya binti yangu.... hakuna mwanaume anayependa mama dada ndugu ama mtoto wake wa kike kuchokonolewa chokonolewa bhana!!!
Kwa akina Mama najua wao ni wepesi kwa kuwagundua mabinti zao ila hapa nataka kwa sisi wababa ( akina Baba ) kuwa utawezaje kugundua mapema kuwa binti yako mpendwa kabisa wanamume wameshaanza Kumnyiri / Kumngono / Kumtia kwa Kumuangalia tu?
Leo nami nikipewa maujanja naweza kuwa ni mwenye furaha kwani kuna vitu nimeanza kuvishtukia kwa mbali.
Una undugu na GENTAMYCINE ?Kwa akina Mama najua wao ni wepesi kwa kuwagundua mabinti zao ila hapa nataka kwa sisi wababa ( akina Baba ) kuwa utawezaje kugundua mapema kuwa binti yako mpendwa kabisa wanamume wameshaanza Kumnyiri / Kumngono / Kumtia kwa Kumuangalia tu?
Leo nami nikipewa maujanja naweza kuwa ni mwenye furaha kwani kuna vitu nimeanza kuvishtukia kwa mbali.
Mkuu umenichekesha so wakulungwa wanamlipizia ha ha ha ha ha alafu wahuni wanakula hadi kwa mpalangeUkiambiwa malipo ni duniani ndo kama hivi .