Ni dalili gani za haraka za Kumjua anayeendesha Gari ni Dereva tu (si lake) na Mmiliki halisi wa Gari?

Ni dalili gani za haraka za Kumjua anayeendesha Gari ni Dereva tu (si lake) na Mmiliki halisi wa Gari?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Mtu nimepishana nae akiwa katika Harrier matata sana huku akiwa na Mikogo yote (kama ya Watani zangu Wakubwa Wahaya) cha Kushangaza baada ya Nusu Saa nimekutana nae Ubungo anapakia Magunia ya Pumba za Kuku huku akiwa Kavua Shati kutokana na Joto Kali la Dar es Salaam sasa (ambalo TMA hawajatuambia bado linatokana na nini) pembeni yake Taita (Tajiiri na mwenye Gari) anamsimamia huku akimfokea kwa Kuyapanga vibaya hayo Magunia.

Mpaka sasa najiuliza Maswali mengi mno tu kwa ile Mikogo yake ( ambayo natamani Ningeirekodi ili nanyi muone) hakuna ambaye angeamini kuwa kumbe Yeye ni Dereva tu ( siyo Mmiliki ) na kwamba alikuwa anawahi Kubeba Magunia ya Pumba ya Boss wake kwa ajili ya Kupelekea Kuku Bandani Kwake.

Na nahisi huyu Dereva atakuwa Mhaya.
 
😂😂Kuna threads unataka kusema kitu ila nafsi inakwambia tulia relax, non of your business
 
Akili kubwa ndio itakuelewa nimekuwa nafatilia sana maandiko Yako ni mmoja wa wadau wako ila hongera kwa code upo Vzuri
 
Akili kubwa ndio itakuelewa nimekuwa nafatilia sana maandiko Yako ni mmoja wa wadau wako ila hongera kwa code upo Vzuri
Hingera sana kwa kuwa na akili kubwa, kuliko wengi wetu humu.
 
Jadili hoja ya mtoa hoja na kama umeelewa basi hata wewe una akili kubwa
Mara nyingi, nikisoma mada, napenda sana, kuona wadau wanasemaje, nilipo soma coment yako, nikagundua kwa akili yako ya kuelewa anachoandika, inamaana tunachosoma wengi sicho anacho maanisha, ndiyo maana nimekupongeza, kwa kuelewa code zake vizuri.
 
Mara nyingi, nikisoma mada, napenda sana, kuona wadau wanasemaje, nilipo soma coment yako, nikagundua kwa akili yako ya kuelewa anachoandika, inamaana tunachosoma wengi sicho anacho maanisha, ndiyo maana nimekupongeza, kwa kuelewa code zake vizuri.
Hivi kati ya dereva na Mmiliki wa gari nani analijua gari lake zaidi
 
Akili kubwa ndio itakuelewa nimekuwa nafatilia sana maandiko Yako ni mmoja wa wadau wako ila hongera kwa code upo Vzuri
Asante sana Mkuu kwa Credits zako. Nje ya Kuzaliwa na Baraka ya kupewa Akili Kubwa na Baba Muumba Mwenyezi Mungu, ila pia nimepikwa vyema kuwa Brainiac and Critical Thinker hivi ( nilivyo ) na Chuo Kikuu changu pendwa cha SAUT Mwanza Tanzania ambacho kina Genius Lecturers tupu.
 
Jadili hoja ya mtoa hoja na kama umeelewa basi hata wewe una akili kubwa
Mkuu pole kwa Kutolijua hili kuwa GENTAMYCINE nakubalika na 25% tu ya Geniuses walioko hapa JamiiForums ( nawe ukiwemo ) ila Nachukiwa na 75% ambao ni Wapumbavu na Wendawazimu ambao hata hivyo pamoja na Kunichukia huko ila Kila Siku ( 24/7 ) waki Log In hapa JamiiForums ni lazima wasome Threads na Posts zangu huku baadhi pia wakiwa ni Followers katika Followers wangu wapatao 146 nilionao mpaka muda hii ( hivi sasa ) na huwa Nawashangaa na Kuwaonea Huruma.
 
Kuna Mtu nimepishana nae akiwa katika Harrier matata sana huku akiwa na Mikogo yote (kama ya Watani zangu Wakubwa Wahaya) cha Kushangaza baada ya Nusu Saa nimekutana nae Ubungo anapakia Magunia ya Pumba za Kuku huku akiwa Kavua Shati kutokana na Joto Kali la Dar es Salaam sasa (ambalo TMA hawajatuambia bado linatokana na nini) pembeni yake Taita (Tajiiri na mwenye Gari) anamsimamia huku akimfokea kwa Kuyapanga vibaya hayo Magunia.

Mpaka sasa najiuliza Maswali mengi mno tu kwa ile Mikogo yake ( ambayo natamani Ningeirekodi ili nanyi muone) hakuna ambaye angeamini kuwa kumbe Yeye ni Dereva tu ( siyo Mmiliki ) na kwamba alikuwa anawahi Kubeba Magunia ya Pumba ya Boss wake kwa ajili ya Kupelekea Kuku Bandani Kwake.

Na nahisi huyu Dereva atakuwa Mhaya.
Kwani wewe kabila gani?
 
Back
Top Bottom