NI DALILI YA UGONJWA GANI HUU....??

Smart boy Shewedy

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2017
Posts
3,718
Reaction score
3,488
Wakuu wana JF. Hivi pindi ifikapo mida ya usiku huwa kuna kitu kina chezacheza/kutekenya sehemu ya haja kubwa pamoja na kuwashwa kwenye makalio iwe Asubuhi, mchana hadi usiku.

Ni dalili ya nini/ama ugonjwa gani huu.......?
 
Dalili ya minyoo hiyo.afadhali mkuu
Kamwone daktari
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu itakua dalili ya popo bawa
 
Wakuu wana JF. Hivi pindi ifikapo mida ya usiku huwa kuna kitu kina chezacheza/kutekenya sehemu ya haja kubwa pamoja na kuwashwa kwenye makalio iwe Asubuhi, mchana hadi usiku.

Ni dalili ya nini/ama ugonjwa gani huu.......?
Maalim ulipona?
 
Minyoo hio aina ya trichuris trichura,au entemobious vermicularis.
Nenda kapimbe minyoo kwenye maabara ya kuelewaka
Wakuu wana JF. Hivi pindi ifikapo mida ya usiku huwa kuna kitu kina chezacheza/kutekenya sehemu ya haja kubwa pamoja na kuwashwa kwenye makalio iwe Asubuhi, mchana hadi usiku.

Ni dalili ya nini/ama ugonjwa gani huu.......?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…