Mkuu yaani ipo hivi, kuna muda sehemu fulani ya mwili unasikia damu kama inadunda hata mara tatu au na zaidi. Inatokea sehemu tofauti za mwili karibia kila sehemu ya mwili ila kwa muda tofautiHujaeleweka mkuuu...au ulimaanisha unahisi msukumo wa damu??? Au tension katika some parts of your body??ungetaja hzo sehem ingekuwa vzuri
pole sana hii hali sio nzuri. Wewe una muda gani na hali hiiNamimi hunitokeaga, ngoja nisubiri jibu
Wahi Hospitali kapime Presha yako aka (mapigo ya moyo) je yapo sawa?Wakuu habari za muda,
Kuna tatizo au jambo limetokea takribani mwezi wa pili sasa. Hali yenyewe ipo hivi, kuna muda nahisi damu yangu mwilini kucheza au kutikisika. Hii hali inaweza kutokea sehemu yeyote ya mwili. Hii hali inakuwa kama vile damu kutingishika katika kasehemu kadogo ka mwili. Inaweza kutokea muda wowote. Samahani kama ntakuwa nimeshindwa kuelezea vizuri ila hii hali inanikosesha raha.
Je inaweza kuwa ni dalili ya ugonjwa gani. Msaada wenu tafadhali
Unajuaje kama ni damu inatikisika?Wakuu habari za muda,
Kuna tatizo au jambo limetokea takribani mwezi wa pili sasa. Hali yenyewe ipo hivi, kuna muda nahisi damu yangu mwilini kucheza au kutikisika. Hii hali inaweza kutokea sehemu yeyote ya mwili. Hii hali inakuwa kama vile damu kutingishika katika kasehemu kadogo ka mwili. Inaweza kutokea muda wowote. Samahani kama ntakuwa nimeshindwa kuelezea vizuri ila hii hali inanikosesha raha.
Je inaweza kuwa ni dalili ya ugonjwa gani. Msaada wenu tafadhali
Mkuu nimepima kila kitu kipo sawa. Na jana nimepima tena.Nimefanya ECHO, NA ECG na ultrasound ya mwili. Lakini hakuna tatizoWahi Hospitali kapime Presha yako aka (mapigo ya moyo) je yapo sawa?
Kusema kweli sijui ki uhakika kama ni misuli au damu. Ndio maana sielewi hili jambo ila linanikosesha raha. Mkuu wewe una muda gani na hiyo hali na linasababishwa na nini. Suluhisho lake ni nini.Unajuaje kama ni damu inatikisika?
Kwa mimi kinachonitokeaga ni misuli ya point flani ya mwili kucheza kimapigo flan kama mapigo ya moyo.
Nikisema unaweza kuniamini?Mkuu nimepima kila kitu kipo sawa. Na jana nimepima tena.Nimefanya ECHO, NA ECG na ultrasound ya mwili. Lakini hakuna tatizo
Nitakuamini mkuu. Nipe suluhishoNikisema unaweza kuniamini?
NipmNikisema unaweza kuniamini?
Vipi aliponakuna anko wangu alikuwaga anasema ivo ivo mwisho wake aliambiwa ni jini alikuwa anamtembea mwilini
Mkuu mazoezi najitahidi kufanya sana. Hii ya simu inakuwajeFanya mazoezi ya viungo km. kukimbia n.k hii itasaidia mzunguuko wa damu kuwa huru. Lakini pia epuka kuweka simu ya kiganjani mfukoni aidha shati au suruali katika hali ya mtetemo( vibration)
Embu ungeweka hapa na sisi wengine pia tufaam,Nikisema unaweza kuniamini?