Labda mwizi kinda ndio utamjua kwa dalili, lakini mwizi mzoefu huwezi kumtambua kwa dalili yoyote isipokuwa 'The Sixth Sense', the voice from within itakuwa liko jambo, baada ya taarifa ndipo checks za kufuatia kama macho, muulize halafu laza sikio lako kifuani kwake utasikia moyo wake unavyodunda.
kama ni kawaida yake kukuibia, akimengwa, hataki kutoa huduma kwako, ukilazimisha kiaina, atakugawiya ila you must be sensetive kusikiliza normal rythim yake, speed yake ikoje, wakati kani anakolea na akifika, huwa anafika baada ya muda gani na akifika hufanya nini.
kwa vile keshaiba na kafikishwa, ni ngumu sana kufika mara ya pili, hivyo ili usimshtukie, atajifanya anafika haraka haraka ili umalize mlale, hivyo atafake orgasm. kama wewe ni sensetive enough, utagundua anafake mjulishe feelings zako na hatarudia.
kama ni mzoefu, there is no way, kutakuwa na tatizo upande wako, humfikishi, hivyo baba, jifunze mambo, vinginevyo, utapiga, utauwa na lazima utamegewa.