Kiongozi wa mikopo chuoni juzi ameleta taarifa ya haraka kwamba wale wote ambao wanataka kuongezewa mkopo na wale ambao pia hawana kabisa mkopo hata kama hawajaomba kwamba waandike majina na namba zao haraka zipelekwe bodi ya mikopo jumatatu ijayo,
kwangu hii imeniacha njia panda kidogo, kwani kiongozi mmoja hapa chuo amesema kunauwezekano eti wanataka kuzima sakata la iptl na escrow kwa namna fulani kupitia hiyo mihela inayotaka kuwatokea puani, niliandika jina ukizingatia naganga bila mkopo ingawaje binafsi sina imani na viongozi wa nchi hii ukizingatia wanafunzi kibao wamekosa mkopo,sasa hapa nawaza ni danganya toto au?
kwangu hii imeniacha njia panda kidogo, kwani kiongozi mmoja hapa chuo amesema kunauwezekano eti wanataka kuzima sakata la iptl na escrow kwa namna fulani kupitia hiyo mihela inayotaka kuwatokea puani, niliandika jina ukizingatia naganga bila mkopo ingawaje binafsi sina imani na viongozi wa nchi hii ukizingatia wanafunzi kibao wamekosa mkopo,sasa hapa nawaza ni danganya toto au?