johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tupa kule majitu ya Jiwe akina Slaa aliowanunua kukomoa Chadema. Safi sana. Tupa kule Slaa. Akija anakuwa Katibu mkuu CCMUteuzi wa mabalozi wapya leo ni dhahiri utaendana na mabalozi hao kupangiwa vituo vipya na kwa maana hiyo mabalozi wazee wanastaafu na kurudi nyumbani.
Ni wazi Balozi Slaa, Balozi Migiro na balozi Masilingi watakuwa wameanza kufungasha.
Kazi Iendelee!
Kwa akili za Dr Slaa anaweza kurudi Chadema!Tupa kule majitu ya Jiwe akina Slaa aliowanunua kukomoa Chadema. Safi sana. Tupa kule Slaa. Akija anakuwa Katibu mkuu CCM
Kwani Slaa unamchukuliaje?? Yule ni akili kubwa sana.. Acha kupiga ramli zako.Kwa akili za Dr Slaa anaweza kurudi Chadema!
Umri hauna uchonganishi!Acheni ramli chonganishi
Wewe subiri arudi ndio utamjua!Kwani Slaa unamchukuliaje?? Yule ni akili kubwa sana.. Acha kupiga ramli zako.
Uteuzi wa mabalozi wapya leo ni dhahiri utaendana na mabalozi hao kupangiwa vituo vipya na kwa maana hiyo mabalozi wazee wanastaafu na kurudi nyumbani.
Ni wazi Balozi Slaa, Balozi Migiro na balozi Masilingi watakuwa wameanza kufungasha.
Kazi Iendelee!
hatapokelwa...... ataunda chama na Polepole na BashiruKwa akili za Dr Slaa anaweza kurudi Chadema!
How?Hoyce Temu naye ni level nyingine
Umri ukifika lazima urudi nyumbani hakuna anayebezwa hapo.Wewe chawa wa ccm.
Hivi Migiro na Slaa hao ni wa kubeza?
Bila shaka Slaa ndiye balozi bora na mwenye ushawishi.
Pili Migiro ni mzoefu sana Kimataifa.
Labda Masilingi arudi home tu hana lolote.
Hoyce Temu naye ni level nyingine
Ngoja tuone bwashee!hatapokelwa...... ataunda chama na Polepole na Bashiru
Mkuu, tatizo Watanzania wengi wanadumbuliwa na wivu tu, we mtu anafikia mpaka hatuwa ya kuwataja majina mabalozi ambao wanataka warudishwe nyumbani!! Hiyo inawahusu nini?Kwani Slaa unamchukuliaje?? Yule ni akili kubwa sana.. Acha kupiga ramli zako.
Wazee wanajulikanaMkuu, tatizo Watanzania wengi wanadumbuliwa na wivu tu, we mtu anafikia mpaka hatuwa ya kuwataja majina mabalozi ambao wanataka warudishwe nyumbani!! Hiyo inawahusu nini?