Ni dhahiri akina Dr Slaa, Dr Migiro, Masilingi na Wazee wengine sasa watarudi nyumbani kupisha damu changa!

Damu changa gani?mtu alisha staafu jeshini muda mrefu leo unamteua awe balozi wakati vijana kibao wamehitimu na vyeti hapo diplomasia wanalima matikiti...kwangu si sw
 
Sikuwa nimeelewa mpaka nililorudi juu kuangalia aliyeandika hii comment ndiyo nikaelewa
 

Here we go again!! Tell you what Amigo? Your demonic traits of behaving like a drunken comet gonna cost you an arm and leg siku za usoni.

Sitachoka kukumbusha kwamba wewe ni binadamu mwenye envy by default - mfano: kati ya mabalozi wote why pick on "Masillingi" na kuanza kumsema sema vibaya - kwani amewahi kukwaza nini katika maisha yako? Punguza wivu ndugu yangu.
 
Mhurumie huyo jamaa 'nshomile', anayeonekana ni mnufaika na mtetezi wa mabalozi ambao ni 'deadwood'....kazi iendelee.
 

I repeat second time, ur a total shithole, legs and arms labda nizichomoe zako, alafu mie napiga vibaya sana, usibishane na mm, napiga unakatika vipande, physically and mentally plus financially uko million times behind me, so keep shut, nasema wazee kama akina Masilingi hawafai, tena huyo Masilingi ni inshomile kama ww, so am repeating last time, shithole ww, na i will beat you, kazi kumpinga Mh. Rais humu tu, kaondoka Magu wa watu, mmempiga vita wee, now mnaanza na Mama Samia, i will beat you utakimbia like wild dog, acheni upuuzi, kazi kupinga pinga kila kitu.. Weweee ooh 😳🚑🚑
 
[emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Chadema kituo cha malezi bora ya viongozi....simchezo utakapoajira zuri anzia chadema
 
Wewe chawa wa ccm.
Hivi Migiro na Slaa hao ni wa kubeza?
Bila shaka Slaa ndiye balozi bora na mwenye ushawishi.
Pili Migiro ni mzoefu sana Kimataifa.
Labda Masilingi arudi home tu hana lolote.
Hoyce Temu naye ni level nyingine
Ubora wake ni upi na alishawishi nini? [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Vituo bado kupangiwa lazima muombe nchi anayopangiwa wale waridhie ndioa ataenda
 
Umri hauna uchonganishi!
Swala si umri na hakuna nchi inayoongozwa na vijana bila wazee .vijana Wana mihemuko hivyo ni lazima wazee wawepo kea ajili ya kuwaongoza vinginevyo nchi itakwenda arijojo
 
Dr ataishije sasa mwendazake amewaliza wengi sana
 

When stupid minds discuss people, Life goes on. Working hard is what defines us.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…