Ni Dhahiri sasa Mamilioni ya Watanzania Wameamua kuungana na Lissu na kukikacha Chama Tawala.

Ni Dhahiri sasa Mamilioni ya Watanzania Wameamua kuungana na Lissu na kukikacha Chama Tawala.

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Imethibitka, imethibitika.

Kwa Sasa Macho na masiikio ya Watanzania Mamilioni kwa mamilion, mitandaoni na kqa ground wako Na Lissu.

Kila.mtu anaimba mabadilko halisi. Si wanaccm, si wanachadema wala wasio na vyama.

Kwenye Group Moja la Whatsapp lenye makada wakubwa na wadogo wa ccm nimewasikia wakisema Tundu Lissu anafaa kulipa nafasi ya Hayati Dr Magufuli.

Anafaa kuleta heshima, kulinsa Rasilimali za Taifa na kukomesha Rushwa.

Haiba ya Tundu Lissu ya kusema ukweli wa Mungu na ujasiri ina reflect haiba ya Hayati Magufuli enzi hizo akiwa Waziri wa Ujenzi jambo lililovutia Chama chake na system hadi kuteuliwa kuwa Rais.

Mitaani sasa fujo ni nyingi.

Imefika hatua wale jamaa walioenda Dodoma huku wakidhani wameenda kuchagua viongozi ambapo wagombea hawajulikani


Wamejichimbia huko ni wiki na zaidi, hata waandishi wa habari wamezikacha habari zao, media na social media wamejitenga nao.

Hata hapa JFs habari zao zimezimwa.

Sijajua kama ni uhujumu wanafanyiana au ndio Kuchokwa chama hicho kilichokaa madarakani kwa miama mingi manufaa kidogo.
 
Imethibitka, imethibitika.

Kwa Sasa Macho na masiikio ya Watanzania Mamilioni kwa mamilion, mitandaoni na kqa ground wako Na Lissu.

Kila.mtu anaimba mabadilko halisi. Si wanaccm, si wanachadema wala wasio na vyama.

Kwenye Group Moja la Whatsapp lenye makada wakubwa na wadogo wa ccm nimewasikia wakisema Tundu Lissu anafaa kulipa nafasi ya Hayati Dr Magufuli.

Anafaa kuleta heshima, kulinsa Rasilimali za Taifa na kukomesha Rushwa.

Haiba ya Tundu Lissu ya kusema ukweli wa Mungu na ujasiri ina reflect haiba ya Hayati Magufuli enzi hizo akiwa Waziri wa Ujenzi jambo lililovutia Chama chake na system hadi kuteuliwa kuwa Rais.

Mitaani sasa fujo ni nyingi.

Imefika hatua wale jamaa walioenda Dodoma huku wakidhani wameenda kuchagua viongozi ambapo wagombea hawajulikani


Wamejichimbia huko ni wiki na zaidi, hata waandishi wa habari wamezikacha habari zao, media na social media wamejitenga nao.

Hata hapa JFs habari zao zimezimwa.

Sijajua kama ni uhujumu wanafanyiana au ndio Kuchokwa chama hicho kilichokaa madarakani kwa miama mingi manufaa kidogo.
Mtu mmoja kauliza huo uchaguzi wa dodoma ni kati ya nani na nani?
 
Imethibitka, imethibitika.

Kwa Sasa Macho na masiikio ya Watanzania Mamilioni kwa mamilion, mitandaoni na kqa ground wako Na Lissu.

Kila.mtu anaimba mabadilko halisi. Si wanaccm, si wanachadema wala wasio na vyama.

Kwenye Group Moja la Whatsapp lenye makada wakubwa na wadogo wa ccm nimewasikia wakisema Tundu Lissu anafaa kulipa nafasi ya Hayati Dr Magufuli.

Anafaa kuleta heshima, kulinsa Rasilimali za Taifa na kukomesha Rushwa.

Haiba ya Tundu Lissu ya kusema ukweli wa Mungu na ujasiri ina reflect haiba ya Hayati Magufuli enzi hizo akiwa Waziri wa Ujenzi jambo lililovutia Chama chake na system hadi kuteuliwa kuwa Rais.

Mitaani sasa fujo ni nyingi.

Imefika hatua wale jamaa walioenda Dodoma huku wakidhani wameenda kuchagua viongozi ambapo wagombea hawajulikani


Wamejichimbia huko ni wiki na zaidi, hata waandishi wa habari wamezikacha habari zao, media na social media wamejitenga nao.

Hata hapa JFs habari zao zimezimwa.

Sijajua kama ni uhujumu wanafanyiana au ndio Kuchokwa chama hicho kilichokaa madarakani kwa miama mingi manufaa kidogo.

GhfJRpEacAEgTRK.jpeg
 
Imethibitka, imethibitika.

Kwa Sasa Macho na masiikio ya Watanzania Mamilioni kwa mamilion, mitandaoni na kqa ground wako Na Lissu.

Kila.mtu anaimba mabadilko halisi. Si wanaccm, si wanachadema wala wasio na vyama.

Kwenye Group Moja la Whatsapp lenye makada wakubwa na wadogo wa ccm nimewasikia wakisema Tundu Lissu anafaa kulipa nafasi ya Hayati Dr Magufuli.

Anafaa kuleta heshima, kulinsa Rasilimali za Taifa na kukomesha Rushwa.

Haiba ya Tundu Lissu ya kusema ukweli wa Mungu na ujasiri ina reflect haiba ya Hayati Magufuli enzi hizo akiwa Waziri wa Ujenzi jambo lililovutia Chama chake na system hadi kuteuliwa kuwa Rais.

Mitaani sasa fujo ni nyingi.

Imefika hatua wale jamaa walioenda Dodoma huku wakidhani wameenda kuchagua viongozi ambapo wagombea hawajulikani


Wamejichimbia huko ni wiki na zaidi, hata waandishi wa habari wamezikacha habari zao, media na social media wamejitenga nao.

Hata hapa JFs habari zao zimezimwa.

Sijajua kama ni uhujumu wanafanyiana au ndio Kuchokwa chama hicho kilichokaa madarakani kwa miama mingi manufaa kidogo.
Gentleman,
achilia mbali mambo mengine kama Bwawa La Mwal.J.K.Nyerere...

SGR pekeyake inatosha kuifanya CCM kutawala mpaka ukamilifu wa dahari.

yaani kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, kwanza ataadabishwa vizuri sana na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa Jan.21.2025, lakini pia makelele na mdomo wake wa uropokaji utakua unadhibitiwa na Ezekia Wenje tu, na itapendeza zaidi 🐒
 
The way CCM inavyofanya mkutano wa kifahari unaweza ukadhani nchi ipo vizuri kabisa....mpaka unajiuliza nini kinaendelea?...Chama kipo mbali kabisa na uhalisia....kumejaa wapigaji na wajanja wajanja tupu...
Ndio maana watu wanamsikiliza Lissu..wanamuona mwenzao
 
The way CCM inavyofanya mkutano wa kifahari unaweza ukadhani nchi ipo vizuri kabisa....mpaka unajiuliza nini kinaendelea?...Chama kipo mbali kabisa na uhalisia....kumejaa wapigaji na wajanja wajanja tupu...
Ndio maana watu wanamsikiliza Lissu..wanamuona mwenzao
Tundu Lissu amejizolea heshima kutoka kwa makundi yote ya wananchi
 
Back
Top Bottom