Kaka Pole Sana unateseka Sana siku hizi,Yanga mmelalamika kipindi kirefu tangu lini??wakati ule hesabu zikipigwa hata tukishinda zote sisi Simba bado tulikuwa nyuma yenu kwa point 5 mlikuwa mnalalamika Simba wananunua??baada ya kuwafunga mlipoona hesabu zikipigwa tunawapita point 5 ndio mmepagawa na kulalama muda wote!!#KilaMtuAshindeMechiZakeTutapigianaHesabuTukiwaKileleni
Sent using
Jamii Forums mobile app