Uchaguzi 2020 Ni dhahiri Zitto atagombea urais wa JMT 2020 na ubunge Kigoma mjini atamwachia agombee Abdul Nondo

Hela yako tu .Wataka kugombea mnapigwa mnada na mangi anayeshinda anapewa kuwa mgombea.Hata chadema ni pesa yako tu wagombea mnaingiizwa kwenye mnada the highest bidder anapewa
We jamaa sijui wamekufanya nini chadema,yaani mpka kwenye ndoto unaitaja chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwashee sasa mbona wewe unaacha mbege na kumzungumzia Magufuli anakuhusu nini?!...... We endelea kupata kisusio na mapupu hapo Ufipa wenzako tunavuka bahari!
 
Sio vibaya ukiwasaidia kupotea lakini nadhani nia yako hiyo haitafanikiwa. 2020 baado sana. Tungojee kwanza uchaguzi wa madiwani ndio tuanze ramli chonganishi
Kwani uchaguzi wa madiwani lini?
 
Acha propaganda za kitoto,mmeshauriwa na kada wenu Bollen tumieni propaganda mpya!!
 

Bila tume huru ni vigumu sana kusemakwa uhakika kama hao wote walishindwa au hawaku tangazwa.
 
😁😁😁😁 abdul Nondo ataandika historia bila shaka
 
Yaani inakuwa ndio kaburi lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Upinzani mmeshwah kuwaza Bungeni kukiwa na Maalim, Lissu, Zito , Mbowe, na wengneo weng wa upinzani kutakuwaje?, By default tu ACT watachukua Pemba yote, wakiweka Ukawa wa CDM na ACT nguvu kwa kutafuta wabunge na madiwan huku bara nin kitatokea
 
😁😁😁 ya kuwa mbunge kijana kbsss ...iv kasha graduate kweli ? Maana kama haja graduate itampa shida kidogo
Amuulize Mbatia na Kimaro (r.i.p) ni mdogo anajidanganya hizi siasa za Afrika ukitaka kusifiwa utaishia bila degree ama ataungaunga kama mbatia na kimaro.

Tunajua huko nyuma yaliyotokea hawsa watoto wetu wa juzi hawafahsmu
 
Amuulize Mbatia na Kimaro (r.i.p) ni mdogo anajidanganya hizi siasa za Afrika ukitaka kusifiwa utaishia bila degree ama ataungaunga kama mbatia na kimaro.

Tunajua huko nyuma yaliyotokea hawsa watoto wetu wa juzi hawafahsmu
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ inatakiwa awaone watu kama nyinyi muupe ushauri kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…