Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kuna wakati tunatimba ishu ambazo hata shrletani mwenyewe anasanda na kushangaa.. Lakini kwa akili nyepesi za kibinadamu tukamsingizia yeye...!
Je ni kufanya matusi?
Wizi?
Ukafiri?
Ulozi?
Umbea/uchonganishi?
Mauaji yasiyo na hatia?
Uonevu?
Kujimwambafy?
Kula sefuli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Je ni kufanya matusi?
Wizi?
Ukafiri?
Ulozi?
Umbea/uchonganishi?
Mauaji yasiyo na hatia?
Uonevu?
Kujimwambafy?
Kula sefuli?
Sent using Jamii Forums mobile app