HahahahaKila siku tunamshukuru Mola kwa kuwaumba wanawake waliokosa maadili.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uwongo
jamaa yangu mmoja alikuwa anakuja geto twende mahali ( kwa demu wake wamezinguana kisa ujinga wake) sasa nikawa sitaki kwenda nae. Kumbe na yeye ni muuni kama mm geto nikafunga mlango nipo ndani nikatoa ufunguo mlangoni akija akichungulia akute ufunguo haupo, sasa akapiga simu kwangu na wakati huo ananipigia kumbe yupo hapo nje kwenye dirisha langu na dirisha ujinga nliofanya nliliacha wazi. Akanipigia akaniuliza uko wapi nikamdanganya sipo geto
Sii akaamua kunirekedi kwa dirishani, akaniambia nimekuja geto nimekukosa. Baada yakukata simu kuchek WhatsApp naona voice niliyokuwa naongea nae na unajua iphone mic yake haidanganyi...
Unazidi kunichanganya, ashakum ndo nini?
Unazidi kunichanganya, ashakum ndo nini?
Uwongo
jamaa yangu mmoja alikuwa anakuja geto twende mahali ( kwa demu wake wamezinguana kisa ujinga wake) sasa nikawa sitaki kwenda nae. Kumbe na yeye ni muuni kama mm geto nikafunga mlango nipo ndani nikatoa ufunguo mlangoni akija akichungulia akute ufunguo haupo, sasa akapiga simu kwangu na wakati huo ananipigia kumbe yupo hapo nje kwenye dirisha langu na dirisha ujinga nliofanya nliliacha wazi. Akanipigia akaniuliza uko wapi nikamdanganya sipo geto
Sii akaamua kunirekedi kwa dirishani, akaniambia nimekuja geto nimekukosa. Baada yakukata simu kuchek WhatsApp naona voice niliyokuwa naongea nae na unajua iphone mic yake haidanganyi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha...
Ungemruka kwamba inakuaje ana edit sauti yako..
ha haHahaha...
Ungemruka kwamba inakuaje ana edit sauti yako..
Sawa bana umeamua kunichanganya leo. Ngoja niwe msoma comments
HahahahaSawa bana umeamua kunichanganya leo. Ngoja niwe msoma comments
Duh haya😃