Endapo wanafunzi watalipa nauli za wakubwa kwenye dala-dala, mojawapo ya faida ni kwamba: HAWATA ACHWA KABISA VITUONI NA USAFIRI WAO UTAKUWA NI WA UHAKIKA.
Je upande wa HASARA ni nini? Kama itaonekana faida ni kubwa kuliko hasara nashauri Serikali itangaze nauli moja kwa wote bila kujali mwanafunzi.
Ni wazo nimewakilisha.
Je upande wa HASARA ni nini? Kama itaonekana faida ni kubwa kuliko hasara nashauri Serikali itangaze nauli moja kwa wote bila kujali mwanafunzi.
Ni wazo nimewakilisha.