Mkaa Mweupe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 654
- 183
Ndugu wanaJamii,
Napenda kuwa silisha mada ambayo imenitatiza kwa muda sasa.
Naona matangazo menengi ya biashara yanaanza kuharibu fani ya u-Dakitari. Nasema hivi nikiwa na maana ya kuwa, matangazo ya kisasa yanashawishi watu kutumia dawa bila ya kufanyiwa uchunguzi. Eti ukiwa na maumivu ya kichwa tumia... ukiona dalili za malaria tumia... sasa hapo ni kwamba kila mtu anakuwa ni dakitari binafsi lakini kuna magonjwa kama sukari ambayo dalili ni kama malaria.
Wajameni fani yenu inapotelea wapi. Ni nini sauti ya ma-Dakitari itasikika dhidi ya matangazo kama haya au ndio segregation of duties ambayo madakitari mmekua ni wafamasia maana dili ni kuuza dawa na sio kusaidia kupata taifa lenye uhakika wa kuishi.
Napenda kuwa silisha mada ambayo imenitatiza kwa muda sasa.
Naona matangazo menengi ya biashara yanaanza kuharibu fani ya u-Dakitari. Nasema hivi nikiwa na maana ya kuwa, matangazo ya kisasa yanashawishi watu kutumia dawa bila ya kufanyiwa uchunguzi. Eti ukiwa na maumivu ya kichwa tumia... ukiona dalili za malaria tumia... sasa hapo ni kwamba kila mtu anakuwa ni dakitari binafsi lakini kuna magonjwa kama sukari ambayo dalili ni kama malaria.
Wajameni fani yenu inapotelea wapi. Ni nini sauti ya ma-Dakitari itasikika dhidi ya matangazo kama haya au ndio segregation of duties ambayo madakitari mmekua ni wafamasia maana dili ni kuuza dawa na sio kusaidia kupata taifa lenye uhakika wa kuishi.